Wakati wa mafunzo jandoni katika yale maeneo machache yanayoendelea kudumishwa mila hiyo, vijana tuliambiwa kuwa ukiona hali imekutokea kama hiyo, ujue partner wako ana matatizo kama vile ugonjwa, kwa hiyo mwili wako umehisi hatari. Sina uhakika kama yalikuwa ni maneno mbofu mbofu au kuna ukweli, ila mimi ikinitokea hivyo, sitaendela naye.