HorsePower
JF-Expert Member
- Aug 22, 2008
- 3,612
- 2,569
Kwa kuona labda huyu msichana atanichukulia ndivyo sivyo nikaamua kula mzigo kavukavu na mambo yakawa bweee!
Tatizo lako linaonekana ni la kisaokolijia zaidi, akili nafikiri ilikuwa haijajiandaa vyema. Ila hapo nilipobold kaka, yaani ulikubali kuungia kavu kavu kwa kuogopa kuonekana ndivyo sivyo? Haya maamuzi yalikuwa hatari mno, maana ulihatarisha maisha yako kwa sababu nyepesi kabisa, kuonekana ndivyo sivyo! Kuwa makini kwenye mahusiano mdogo wangu, utapotea!
Hahahahaahahahaaha!!!! kwa hiyo cha chini kinakuwa na nguvu ya kufikiri kuliko cha juu kwa wakati huo,Duh!!!!!Kazi ipo.Majuto huja mwisho
Kweli kichwa cha chini kikismama cha juu hakifanyi kazi
Naona uliamua kutumia phrase hii maarufu;
"When the going gets tough, let the tough gets going"
huyo dada ana matatizo, anaweza kuwa na ngoma. kama hana matatizo asingekubali kavukavu. ni ajabu kwamba hata hakusita kupigwa kavukavu.
mimi nishauza sana mechi kudadadekiiiiiiiiiiiiiiiii kitu kikigoma naingiza fasta
habari za siku nyingi ndugu zangu?
Kwanza kabisa napenda kuwapapole mashabikiwenzangu wa MANGWEA pamoja na wapenda musiki wa kizazikipya hapa nchini maana tumempoteza jembe.(R.I.P MAGWEA).
Leo napenda niweke mezani jambo moja tu ambalo linanisumbua sana na limnianza siku za hivi karibuni baada ya kuachana na girlfriend wangu
issue iko hivi; Ni takribani miezi 2 imepita tangu niachane na girlfriendwangu na sasa hivi niko kwenye mahusiano na msichana mwingine,ila kitu kinachonishangaza na kuniumiza kichwa ni kwamba wikiend iliyopita tulikubaliana atakuja kwa home ili tubadilishane mawazo na atanipa ''TAMU'' mambo yalienda frsh kama tulivyokubaliana ila ishu ikawanzito pindi tulipojiandaa kuanza kusex maana goborelangu lilikuwa ready kwa kula tamu,ila tatizo likaja pale nilipoanza kuvaa condom maana nilishangaa kuona gobore limelala doro!
Nilijaribu mara kadhaa ila kila nilipovaa kinga lililala doroo!
Kwa kuona labda huyu msichana atanichukulia ndivyo sivyo nikaamua kula mzigo kavukavu na mambo yakawa bweee! (ila sasahivi najuta kwa maamuzi niliyochukua maana ndo mara ya kwanza nime do na huyo msichana tena kavukavu bila kujua back groundyake ilikuaje)
vilevile tatizo lingine linalo nisumbua zaidi ni kile kitendo cha gobore kusinyaa pindi ninapo vaa condom!
Wadau wenzangu hebu naombeni mawazoyenu kusuhu hii issue inatokana na nini?