Kila nikikumbuka pale Temeke kati ya Lyatonga Mrema vs Abdul Cisco nashindwa kuwachukulia " Poa" wapinzani

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,439
142,688
Wale wahenga mnakumbuka uchaguzi ndogo pale Temeke uliowahusisha Augustino Lyatonga Mrema wa Nccr mageuzi vs Abdul Cisco Mtiro( rip) wa CCM.

Ule uchaguzi ilikuwa ni kama Serikali vs NCCR Mageuzi na aliyeibuka mshindi wote tunamjua.

Hili ni bandiko la kukumbushana tu maana kizazi cha sasa ni cha kukariri tofauti na enzi zetu.

Maendeleo hayana vyama

cc: mzee Mgaya
 
Wale wahenga mnakumbuka uchaguzi ndogo pale Temeke uliowahusisha Augustino Lyatonga Mrema wa Nccr mageuzi vs Abdul Cisco Mtiro( rip) wa CCM.

Ule uchaguzi ilikuwa ni kama Serikali vs NCCR Mageuzi na aliyeibuka mshindi wote tunamjua.

Hili ni bandiko la kukumbushana tu maana kizazi cha sasa ni cha kukariri tofauti na enzi zetu.

Maendeleo hayana vyama

cc: mzee Mgaya
Tuadithie vizuri muhenga
 
Wale wahenga mnakumbuka uchaguzi ndogo pale Temeke uliowahusisha Augustino Lyatonga Mrema wa Nccr mageuzi vs Abdul Cisco Mtiro( rip) wa CCM.

Ule uchaguzi ilikuwa ni kama Serikali vs NCCR Mageuzi na aliyeibuka mshindi wote tunamjua.

Hili ni bandiko la kukumbushana tu maana kizazi cha sasa ni cha kukariri tofauti na enzi zetu.

Maendeleo hayana vyama

cc: mzee Mgaya
Unashindwa kuwachukulia poa kwa nini?
 
Wale wahenga mnakumbuka uchaguzi ndogo pale Temeke uliowahusisha Augustino Lyatonga Mrema wa Nccr mageuzi vs Abdul Cisco Mtiro( rip) wa CCM.

Ule uchaguzi ilikuwa ni kama Serikali vs NCCR Mageuzi na aliyeibuka mshindi wote tunamjua.

Hili ni bandiko la kukumbushana tu maana kizazi cha sasa ni cha kukariri tofauti na enzi zetu.

Maendeleo hayana vyama

cc: mzee Mgaya

Tulipokuwa watoto, wakubwa zetu walitubembeleza kwa Peremende kila walipotuudhi, au walituahidi zawadi. Leo watu wazima tunafanyiana hivi? Yaani mtu anaitwa Yesu na bado hashtuki? Dah!

History ya zamani rudi tena kasome, Yani kutoka watu kuuwawa mavichoni mpaka mwenye macho ya watu sio poa.
 
Ndio nilikuwa nimemaliza A level..Uchaguzi ulikuwa mtamu!
Hamasa ilikywa juu ,wafuasi was Mrema walikywa wanatafutana wakapige kura,
!Kila kura ilikuwa na thamani!
Siku ya kupiga kura,ulitokea uvumi kuwakuna kura zimevichwa kwenye jengo moja la Serikali pale Mwembe Yanga 😃Makamanda wa NCCR ..Marando,Lamwai na Makongoro Nyerere waliwasili na kupanda juu ya dari kuzisaka...wakaambuliwa mavi ya panya!
Kwa ujumla ilokiwa ni amsha amsha ya hatari!
Mrema alikuwa anashinda uswazi,kikiwa na ngoma yupo,msiba yupo!
Kimsingi CCM ilipelekeshwa !
Kulikuwa na Sheikh Mtopea ...kimnadi Mrema na slogan yake...Kuua Mbu na Tufalii😁😁
Wa CCM Pekee waloweza kujibu propaganda za NCCR ni Mzuzuri na Mddhihiri,
Kwa mtiti ule huwa napata shida kuelewa kuwa eti Mrema alikuwa pandikizi!
Kama ndivyo Basi kwa kipindi like aliasi!
UCHAGUZI ULE UNAFAA KUANDIKIWA KITABU!
KUMBUKA ULIFUATIWA NA KUJIUDHURU KWA MBUNGE RAMADHAN KIHIYO WA CCM!
 
Wale wahenga mnakumbuka uchaguzi ndogo pale Temeke uliowahusisha Augustino Lyatonga Mrema wa Nccr mageuzi vs Abdul Cisco Mtiro( rip) wa CCM.

Ule uchaguzi ilikuwa ni kama Serikali vs NCCR Mageuzi na aliyeibuka mshindi wote tunamjua.

Hili ni bandiko la kukumbushana tu maana kizazi cha sasa ni cha kukariri tofauti na enzi zetu.

Maendeleo hayana vyama

cc: mzee Mgaya
"The National Conventional Construction and Reform"

NCCR- MAGEUZI ikaibuka mshindi.

Unamkumbuka Wakili msomi wa enzi hizo DR MASUMBUKO LA MWAI?

Unakumbuka asili ya mtu aliyekwenda shule Kuitwa jina la "KIHIYO"

Huyu alikuwa akiitwa RAMADHANI KIHIYO alishinda ubunge wa Temeke akimshinda Kwa kura nyingi.

Bwana Ramadhani KIHIYO Kwenye CV yake ya ubunge alijiweka ana Elimu ya Chuo kikuu cha Dar es salaam.

Mrema akiwa na wakili wake Dr MASUMBUKO Lamwai wa enzi hizo wakaenda mahakamani.

Huko ndipo kukaibuliwa suala la Elimu yake kuwa ni feki na hakuwahi kusoma chuo kikuu.

Aliulizwa waalimu wake waliomfundisha ni nani? Akataja jinaa mwalimu mmoja.

Akauliza kwa sura in

anamkumbuka ?
Akasema ndiyo.

Basi waliongozwa wazee nane vipindi vya wababa na vyenye upara vyote vimefanya vikaenda kukaa mbele kwa mstari akiwemo na huyo mwalimu wake.

Anaambiwa aende akawatazame vizuri akamsimamishe mwalimu wake aliyemfundisha chuo kikuu.

Hapo ndipo majanga,Kaenda kumshika mtu mwingine kabisa sijui alikuwa meneja wa kampuni gani!

Hapo hapo Ubunge wake ulitenguliwa na ukaitishwa uchaguzi mdogo wa jimbo la Temeke.

Kuanzia hapo jina la " KIHIYO " Likashika kasi kwa watu wenye Magumashi kwenye Elimu wakawa wakiitwa KIHIYO ambaye alikuwa akiitwa RAMADHANI KIHIYO.sijui siku hizi yupo wapi.

Baada ya Hapo uchaguzi mdogo uliopitishwa C.C.M ikamsimamisha huyo Cisco na NCCR- MAGEUZI akiwa Mrema.

Mrema aliibuka mshindi kwa kishindo.
 
Marehemu Abdul Cisco Mtiro alikua bishoo sana we mgombea Ubunge anakila vipensi,macheni yamejaa shingoni,Mikono imejaa mapete,vipuli ma vyote.yaani yule mzee alikua tozi.
Ndipo Wandengereko wakamuona chizi, japo ccm walimueka kwakua nae alikua Mndengereko.

Mungu amlaze mahala anapo stahili

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Hakujiuzuru,

Ubunge wake ulitenguliwa na Mahakamani kwa Kigezo cha kufoji Elimu ya chuo kikuu.

Unakumbuka waliletwa Wazee nane Mahakamani wote wenye kufanana na wote wenye upara na katika hao mmoja wapo ni mwalimu wa hiyo kozi alokuwa anadai kuisoma kwa mwaka huo na katika semista hiyo ?

Aliulizwa nenda kamnyanyue mwalimu wako aliyekufundisha kwenye kozi uliokuwa uliosomwa wewe katika mwaka huo .akaenda kumuinua mtu mwingine kabisa sijui alikuwa meneja wa Tanroad sijui kampuni gani sikumbuki.
Hapo likazaliwa jina
la UKIHIYO kulimaanisha mfoji elimu

Ubunge ukatenguliwa na Mahakama kuu.
Wakili alikuwa DR Masumbuko Lamwai.

Kesi ilihudhuriwa na mamia ya watu ikalazimika zifungwe Silima ili watu wengine wasikilizie nje.
Ndio nilikuwa nimemaliza A level..Uchaguzi ulikuwa mtamu!
Hamasa ilikywa juu ,wafuasi was Mrema walikywa wanatafutana wakapige kura,
!Kila kura ilikuwa na thamani!
Siku ya kupiga kura,ulitokea uvumi kuwakuna kura zimevichwa kwenye jengo moja la Serikali pale Mwembe Yanga 😃Makamanda wa NCCR ..Marando,Lamwai na Makongoro Nyerere waliwasili na kupanda juu ya dari kuzisaka...wakaambuliwa mavi ya panya!
Kwa ujumla ilokiwa ni amsha amsha ya hatari!
Mrema alikuwa anashinda uswazi,kikiwa na ngoma yupo,msiba yupo!
Kimsingi CCM ilipelekeshwa !
Kulikuwa na Sheikh Mtopea ...kimnadi Mrema na slogan yake...Kuua Mbu na Tufalii😁😁
Wa CCM Pekee waloweza kujibu propaganda za NCCR ni Mzuzuri na Mddhihiri,
Kwa mtiti ule huwa napata shida kuelewa kuwa eti Mrema alikuwa pandikizi!
Kama ndivyo Basi kwa kipindi like aliasi!
UCHAGUZI ULE UNAFAA KUANDIKIWA KITABU!
KUMBUKA ULIFUATIWA NA KUJIUDHURU KWA MBUNGE RAMADHAN KIHIYO WA CCM!
 
Ndio nilikuwa nimemaliza A level..Uchaguzi ulikuwa mtamu!
Hamasa ilikywa juu ,wafuasi was Mrema walikywa wanatafutana wakapige kura,
!Kila kura ilikuwa na thamani!
Siku ya kupiga kura,ulitokea uvumi kuwakuna kura zimevichwa kwenye jengo moja la Serikali pale Mwembe Yanga 😃Makamanda wa NCCR ..Marando,Lamwai na Makongoro Nyerere waliwasili na kupanda juu ya dari kuzisaka...wakaambuliwa mavi ya panya!
Kwa ujumla ilokiwa ni amsha amsha ya hatari!
Mrema alikuwa anashinda uswazi,kikiwa na ngoma yupo,msiba yupo!
Kimsingi CCM ilipelekeshwa !
Kulikuwa na Sheikh Mtopea ...kimnadi Mrema na slogan yake...Kuua Mbu na Tufalii😁😁
Wa CCM Pekee waloweza kujibu propaganda za NCCR ni Mzuzuri na Mddhihiri,
Kwa mtiti ule huwa napata shida kuelewa kuwa eti Mrema alikuwa pandikizi!
Kama ndivyo Basi kwa kipindi like aliasi!
UCHAGUZI ULE UNAFAA KUANDIKIWA KITABU!
KUMBUKA ULIFUATIWA NA KUJIUDHURU KWA MBUNGE RAMADHAN KIHIYO WA CCM!
Ahsante kwa flashback hiyo mzuri mkuu.
 
Wale wahenga mnakumbuka uchaguzi ndogo pale Temeke uliowahusisha Augustino Lyatonga Mrema wa Nccr mageuzi vs Abdul Cisco Mtiro( rip) wa CCM.

Ule uchaguzi ilikuwa ni kama Serikali vs NCCR Mageuzi na aliyeibuka mshindi wote tunamjua.

Hili ni bandiko la kukumbushana tu maana kizazi cha sasa ni cha kukariri tofauti na enzi zetu.

Maendeleo hayana vyama

cc: mzee Mgaya
Umesema kweli. Uzuri ni kwamba kipindi kile serikali hasa kwenye ngazi ya ubunge ilikuwa haijaanza kupora matokeo kwa mtutu wa bunduki. Ule uchaguzi hakuna mkongwe wa JF ambaye atausahau. Kipindi hicho hicho ndipo neno ''kihiyo'' lilipopata maana mapya! Kama nakumbuka vizuri uchaguzi ulifanyika baada ya aliyekuwa mbunge bwana Kihiyo kugundulika ni ''kihiyo''
 
Ndio nilikuwa nimemaliza A level..Uchaguzi ulikuwa mtamu!
Hamasa ilikywa juu ,wafuasi was Mrema walikywa wanatafutana wakapige kura,
!Kila kura ilikuwa na thamani!
Siku ya kupiga kura,ulitokea uvumi kuwakuna kura zimevichwa kwenye jengo moja la Serikali pale Mwembe Yanga Makamanda wa NCCR ..Marando,Lamwai na Makongoro Nyerere waliwasili na kupanda juu ya dari kuzisaka...wakaambuliwa mavi ya panya!
Kwa ujumla ilokiwa ni amsha amsha ya hatari!
Mrema alikuwa anashinda uswazi,kikiwa na ngoma yupo,msiba yupo!
Kimsingi CCM ilipelekeshwa !
Kulikuwa na Sheikh Mtopea ...kimnadi Mrema na slogan yake...Kuua Mbu na Tufalii
Wa CCM Pekee waloweza kujibu propaganda za NCCR ni Mzuzuri na Mddhihiri,
Kwa mtiti ule huwa napata shida kuelewa kuwa eti Mrema alikuwa pandikizi!
Kama ndivyo Basi kwa kipindi like aliasi!
UCHAGUZI ULE UNAFAA KUANDIKIWA KITABU!
KUMBUKA ULIFUATIWA NA KUJIUDHURU KWA MBUNGE RAMADHAN KIHIYO WA CCM!
Enzi hizo uchaguzi unaibwa kwa kuficha Kura darini mrema akasema watahesabia Kura uwanja wa Taifa katikati ya uwanja
 
Hakujiuzuru,

Ubunge wake ulitenguliwa na Mahakamani kwa Kigezo cha kufoji Elimu ya chuo kikuu.

Unakumbuka waliletwa Wazee nane Mahakamani wote wenye kufanana na wote wenye upara na katika hao mmoja wapo ni mwalimu wa hiyo kozi alokuwa anadai kuisoma kwa mwaka huo na katika semista hiyo ?

Aliulizwa nenda kamnyanyue mwalimu wako aliyekufundisha kwenye kozi uliokuwa uliosomwa wewe katika mwaka huo .akaenda kumuinua mtu mwingine kabisa sijui alikuwa meneja wa Tanroad sijui kampuni gani sikumbuki.
Hapo likazaliwa jina
la UKIHIYO kulimaanisha mfoji elimu

Ubunge ukatenguliwa na Mahakama kuu.
Wakili alikuwa DR Masumbuko Lamwai.

Kesi ilihudhuriwa na mamia ya watu ikalazimika zifungwe Silima ili watu wengine wasikilizie nje.
Uko sahihi kabisa. Kipindi hicho bwana Masumbuko Lamwai (RIP) ndiye aliyekuwa wakili maarafu kabisa kwenye kesi za kukandamiza upinzani kama alivyo wakili msomi Kibatala sasa hivi. Na kama ulivyosema matokeo yalitenguliwa baada ya bwana Kihiyo kukutwa ni ''kihiyo''. Na pia bado nakumbuka msemo maarufu unatumiwa na wanawake wengi wa uswazi wa ''Halo halo'' ndipo ulipoanza.
 
Enzi hizo uchaguzi unaibwa kwa kuficha Kura darini mrema akasema watahesabia Kura uwanja wa Taifa katikati ya uwanja
U-Magufuli kwenye kupiga kura ulikuwa haujaanza. Kipindi hicho upinzani ukikomaa serikali walikuwa wanaona aibu kupora kwa mtutu wa bunduki kama ilivyo sasa.
 
Marehemu Abdul Cisco Mtiro alikua bishoo sana we mgombea Ubunge anakila vipensi,macheni yamejaa shingoni,Mikono imejaa mapete,vipuli ma vyote.yaani yule mzee alikua tozi.
Ndipo Wandengereko wakamuona chizi, japo ccm walimueka kwakua nae alikua Mndengereko.

Mungu amlaze mahala anapo stahili

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Kipindi kile alikuwa kijana kabisa. Wanawake wa kiswazi wakawa wanasema ''halo ya Sisco, halo halo''. Na ndipo msemo wa maarufu kwa mashangingi wa ''halo halo'' ulipoibuka.
 
Ndio nilikuwa nimemaliza A level..Uchaguzi ulikuwa mtamu!
Hamasa ilikywa juu ,wafuasi was Mrema walikywa wanatafutana wakapige kura,
!Kila kura ilikuwa na thamani!
Siku ya kupiga kura,ulitokea uvumi kuwakuna kura zimevichwa kwenye jengo moja la Serikali pale Mwembe Yanga 😃Makamanda wa NCCR ..Marando,Lamwai na Makongoro Nyerere waliwasili na kupanda juu ya dari kuzisaka...wakaambuliwa mavi ya panya!
Kwa ujumla ilokiwa ni amsha amsha ya hatari!
Mrema alikuwa anashinda uswazi,kikiwa na ngoma yupo,msiba yupo!
Kimsingi CCM ilipelekeshwa !
Kulikuwa na Sheikh Mtopea ...kimnadi Mrema na slogan yake...Kuua Mbu na Tufalii😁😁
Wa CCM Pekee waloweza kujibu propaganda za NCCR ni Mzuzuri na Mddhihiri,
Kwa mtiti ule huwa napata shida kuelewa kuwa eti Mrema alikuwa pandikizi!
Kama ndivyo Basi kwa kipindi like aliasi!
UCHAGUZI ULE UNAFAA KUANDIKIWA KITABU!
KUMBUKA ULIFUATIWA NA KUJIUDHURU KWA MBUNGE RAMADHAN KIHIYO WA CCM!
Mkuu hili la kusema Mrema ni pandikizi halina ukweli wowote. Mrema kipindi cha nyuma alikuwa mpinzani wa ukweli kabisa. Ni baada ya kuona umaarufu unashuka, na hali ya uchumi inazidi kuwa mbaya ndipo alipoamua kujitoa ufahamu. Watu wa aina hii wapo wengi. Hata marehemu Lamwai naye alikuja kujipeleka CCM baadae. Nadhani pia sisi wananchi wa Tanzania tunachangia kuwafanya wapinzani kukata tamaa kwa sababu hatuonyeshi kuwajawali hasa wanapopatwa na shida.
 
Enzi hizo uchaguzi unaibwa kwa kuficha Kura darini mrema akasema watahesabia Kura uwanja wa Taifa katikati ya uwanja
Hahahaaaa.......bwashee uchaguzi wa sasa kura zikihesabiwa pale kwa Mkapa CCM itazoa viti vyote vya bunge?!
 
Hakujiuzuru,

Ubunge wake ulitenguliwa na Mahakamani kwa Kigezo cha kufoji Elimu ya chuo kikuu.

Unakumbuka waliletwa Wazee nane Mahakamani wote wenye kufanana na wote wenye upara na katika hao mmoja wapo ni mwalimu wa hiyo kozi alokuwa anadai kuisoma kwa mwaka huo na katika semista hiyo ?

Aliulizwa nenda kamnyanyue mwalimu wako aliyekufundisha kwenye kozi uliokuwa uliosomwa wewe katika mwaka huo .akaenda kumuinua mtu mwingine kabisa sijui alikuwa meneja wa Tanroad sijui kampuni gani sikumbuki.
Hapo likazaliwa jina
la UKIHIYO kulimaanisha mfoji elimu

Ubunge ukatenguliwa na Mahakama kuu.
Wakili alikuwa DR Masumbuko Lamwai.

Kesi ilihudhuriwa na mamia ya watu ikalazimika zifungwe Silima ili watu wengine wasikilizie nje.
Utaratibu huu mzuri wa kusikiliza kesi hadharani ungetumika pia kwenye kesi ya ugaidi ya Mbowe!
 
Back
Top Bottom