Kila nikiingia kwenye mahusiano najikuta namchukia huyo mtu

Luv

JF-Expert Member
Aug 29, 2013
2,739
6,099
Habari wakuu,

Hongereni na majukumu ya kila siku. Kwa mara ya kwanza naomba ushauri humu.

Miaka ya nyuma nilitendwa sana sana kimapenzi, nilikuwa naumia sana, baada ikafika sijui nini kimenitokea kwamba nimezoea au nayachukuliaje mapenzi.

Kila nikiingia kwenye uhusiano ninakuwa nina mawazo ya kufika mbali ila baada ya muda najikuta namchukia yule mtu, sitaki tena kumuona na imekuwa rahisi kwangu kumuacha mtu. Tena namwambia sikutaki tuachane baada ya kuona nakufanyia visa huelewi.

Nikishakaa peke yangu nakuwa nafurahia kwa muda then napatwa na upweke sana. Ila nikiwa kwenye mahusiano mambo ni yale yale nayarudia.

Napenda kuona mtu analia kwa ajili yangu nakuwa nafurahi sana moyo wangu unakuwa na amani. Na bahati nzuri au mbaya unakuta kweli mtu analia sana jinsi navyofanya vituko, naulizwa kama anahitajika kujirekebisha ila namwambia naona bora tuachane?

1. Siipendi hii hali kutoka moyoni ila huwa inanijia automatically.

2. Natamani kubadilika niwe mwema kama zamani ila kila nikijaribu nashindwa.

3. Naona huruma baada ya mtu kumfanyia matendo mabaya ila siwezi tena kumrudisha (nakuwa na kauli sio nzuri, kukaripia, kukutafutia makosa hasa ya kuchepuka ni kawaida)

Mnisaidie nifanyaje ili niondokane na hii hali ukizingatia jioni bado kidogo kufika.
 
Ili uje kuwa na maisha yenye furaha na amani mbeleni....Zuia sana kusababisha mtu yeyote kutoa machozi ya uchungu kwa ajili yako ...Ukijua hilo utaweza kujaribu kutokuwatenda tena maana Ubaya haulipwi kwa ubaya....
 
Habari wakuu.

Hongereni na majukumu ya kila siku.


Kwa mara ya kwanza naomba ushauri humu.

Miaka ya nyuma nilitendwa sana sana kimapenzi, nilikuwa naumia sana, baada ikafika sijui nini kimenitokea kwamba nimezoea au nayachukuliaje mapenzi.

Kila nikiingia kwenye uhusiano ninakuwa nina mawazo ya kufika mbali ila baada ya muda najikuta namchukia yule mtu, sitaki tena kumuona na imekuwa rahisi kwangu kumuacha mtu. Tena namwambia sikutaki tuachane baada ya kuona nakufanyia visa huelewi.

Nikishakaa peke yangu nakuwa nafurahia kwa muda then napatwa na upweke sana. Ila nikiwa kwenye mahusiano mambo ni yale yale nayarudia.

Napenda kuona mtu analia kwa ajili yangu nakuwa nafurahi sana moyo wangu unakuwa na amani. Na bahati nzuri au mbaya unakuta kweli mtu analia sana jinsi navyofanya vituko, naulizwa kama anahitajika kujirekebisha ila namwambia naona bora tuachane?

1. Siipendi hii hali kutoka moyoni ila huwa inanijia automatically.

2. Natamani kubadilika niwe mwema kama zamani ila kila nikijaribu nashindwa.

3. Naona huruma baada ya mtu kumfanyia matendo mabaya ila siwezi tena kumrudisha (nakuwa na kauli sio nzuri, kukaripia, kukutafutia makosa hasa ya kuchepuka ni kawaida)

mnisaidie nifanyaje ili niondokane na hii hali ukizingatia jioni bado kidogo kufika
Tunaita OVER EXPECTATIONS.

Usitegemee sana makubwa kwa binaadam, mwamini Mungu wako kwa kila jambo. unaweza ukanitama ukaniandikia LIFE PLAN wakati hujui exactly what I have, kichwani na mfukoni.

Unapoweka mategemeo makubwa lazima uone hana jipya na unajikuta unambwaga na kutafuta mwingine. mwisho wa siku hutapata unachokitafuta , umri unasafiri na wewe, haukuachi nyuma.

Jitafakari na umrudie mola wako akupatie anayekufaa.

Pole sana Luv
 
ushakuwa shetani......wewe sio luv tena ni ibilisi...... ndie anaecheka baada ya unyambisi,,,,,kujibadilisha kuwa binadamu itakuchukua muda sana,,,, kamata mwingine mlengeshe uzae kashetani halisi.... then unamtimua tena mlengaji........
 
  • Thanks
Reactions: Luv
Jifananishe na huyu uone kama kuna utofauti. unafurahia kuona machozi ya binaadam mwenzako??

Dark Passenger

I just know there's something dark in me, and I hide it. I certainly don't talk about it, but it's there - always. This Dark Passenger. And when he's driving, I feel... alive, half sick with the thrill of complete wrongness. I don't fight him, I don't want to.
He's all I've got. Nothing else could love me, not even... especially not me. Or is that just a lie the Dark Passenger tells me? Because lately, there are these moments when I feel connected to something else... someone. It's like the mask is slipping and things... people... who never mattered before, are suddenly starting to matter. It scares the hell out of me.
 
Ili uje kuwa na maisha yenye furaha na amani mbeleni....Zuia sana kusababisha mtu yeyote kutoa machozi ya uchungu kwa ajili yako ...Ukijua hilo utaweza kujaribu kutokuwatenda tena maana Ubaya haulipwi kwa ubaya....
Sawa mkuu, sipendi iwe hivyo ila inatokea automatically
 
Tunaita OVER EXPECTATIONS.

Usitegemee sana makubwa kwa binaadam, mwamini Mungu wako kwa kila jambo. unaweza ukanitama ukaniandikia LIFE PLAN wakati hujui exactly what I have, kichwani na mfukoni.

Unapoweka mategemeo makubwa lazima uone hana jipya na unajikuta unambwaga na kutafuta mwingine. mwisho wa siku hutapata unachokitafuta , umri unasafiri na wewe, haukuachi nyuma.

Jitafakari na umrudie mola wako akupatie anayekufaa.

Pole sana Luv
Ahsante mkuu kwa ushauri wako nitauzingatia
 
Daima mapenzi na namna yanavyoongelewa ni TOFAUTI.Katika mapenzi kunahitajika uvumilivu wa hali ya juu sana.....
Hapo zamani nilikuwa mvumilivu saaaana na mpole mnooo nikawa naishia kutendwa
 
ushakuwa shetani......wewe sio luv tena ni ibilisi...... ndie anaecheka baada ya unyambisi,,,,,kujibadilisha kuwa binadamu itakuchukua muda sana,,,, kamata mwingine mlengeshe uzae kashetani halisi.... then unamtimua tena mlengaji........
Ahsante kwa ushauri wako mkuu
 
Jifananishe na huyu uone kama kuna utofauti. unafurahia kuona machozi ya binaadam mwenzako??

Dark Passenger

I just know there's something dark in me, and I hide it. I certainly don't talk about it, but it's there - always. This Dark Passenger. And when he's driving, I feel... alive, half sick with the thrill of complete wrongness. I don't fight him, I don't want to.
He's all I've got. Nothing else could love me, not even... especially not me. Or is that just a lie the Dark Passenger tells me? Because lately, there are these moments when I feel connected to something else... someone. It's like the mask is slipping and things... people... who never mattered before, are suddenly starting to matter. It scares the hell out of me.
Sifurahii ila tu moyo wangu unakuwa na amani kwa muda ule baada ya muda naingiwa na huruma sana
 
Machozi ya wale unao waliza ndo laana yako tengua maagano yako
Wale walioanza kuniliza inakuwaje kwako.

Pia mimi siipendi hali hii,ndio maana nimeomba ushauri ili niondokane nayo
 
Back
Top Bottom