walioko kwnye ndoa maambukizo ni makubwa sana zaid y hiyo 1%.huoni mi nimepunguza kuliko ukienda kazin ukitoa mguu na wife nae anatoa mguu kuckojulikana.... sa c bora kuambia ili 2we waangalifu.
Watu bwana sasa mnachomtukania huyu jamaa nini sasa wakati ndio aina ya maisha wengi mnayoishi au kwa kuwa yey na wife wamevunja ukimya huku nyie mkijilipua kwa siri:coffee:
kwa hiyo nyie hamuamniniania??
Je mnapendana??
maana najua penye upendo pana wivu...
Je wewe husikii wivu mkeo akikwambia nili lala na fulani ??
2napenda saaaana na hicho cha kuwa wazi ndio kina2fanya 2pendane mara dufu.mbona mwanaume huwa wanaoa wanawake zaid y wawili inamaana wanawake wao huwa hawana wivu ....nimakubaliano 2 ndio jambo la mcngi.
Hilo jina lake kwa kabila yangu lina maana Zeruzeru(Albino)
kwnye makubaliano ye2 tigo no kutoa.ila cku akikutana mziki mnene ananiambia ht mimi cfikii.
Asaalam aleykum wanajamv ....mimi na mke wangu 2napenda sana hii nikutokana na mfumo w maisha 2liopendekeza 2ishi.na 2meamua kuishi ktk mfumo huo kutokana na dunia y sasa iliyogubikwa na magonjwa na fumanizi kila kukicha.mimi na mke wangu 2meamua kuwa wazi kila mmoja we2 ruksa kuchakachua nje ilimradi ku2mia jezi(kondom) ...ikitokea cku anaenda kuchakachuliwa aniaga na akirudi aniadisia jamaa alivyompinda wakit mwingine na mimi hivyo hivyo nikienda namuaga nikirudi namcmulia jinsi nilivyokamua.... je ni vizuri au nimechemka.nawaclisha
Mwanangu umejitoa MUHANGA Uwiiiii Nenda kapime kama huna ukome usirudie tena kama una hamu ya kuishi!
Na mkeo kama hataki kata mti panda mti!
uwiiiii kilio!
oohh dear sasa kwa nini usioe mke wa pili????
maana inaelekea kila kitu kina kubalika kwenye ndoa yako..
mwenzangu hiyo wala sio sifa, me hata cjapenda, sasa kama kila mtu atakuwa anatoka nje ya ndoa unadhani thamani ya ndoa itakuwa wapi?
Hakuna cha kufanya kwa siri wala dhahiri, vyote havifahi...! Alafu mkuu, uoni haya kutetea uzinifu?