Kila akitongozwa anasema!

Kila akitongozwa anasema!

Mr.Lover

Member
Joined
Jan 28, 2013
Posts
17
Reaction score
0
Habar wana jf,
Huwa najiuliza kila mara jibu huwa cpati,kwamba demu wako kila akitongozwa anakwambia huonesha kwamba anakupenda sana? au huwa tayari amekubali anaweka mazingra kwako endapo ukimwona na huyo jamaa ucwe na jambo lakuwaza sana,maana alikwambia alishamkatalia
 
Habar wana jf,
Huwa najiuliza kila mara jibu huwa cpati,kwamba demu wako kila akitongozwa anakwambia huonesha kwamba anakupenda sana? au huwa tayari amekubali anaweka mazingra kwako endapo ukimwona na huyo jamaa ucwe na jambo lakuwaza sana,maana alikwambia alishamkatalia

Wajinga ndiyo waliwao, ngojea kupachikiwa na mimba kabisa..................!:confused2:
 
Kwani we unaitafsiri vipi?
mi yaweza kuwa na maana hizi:
1.anakupa ujumbe usijione wewe ndo wewe wanaompenda ni wengi..
2.anakuwekea mazingira flani ili siku ukiona isiwe ishu tayari taarifa ulikuwa nayo so nothing btn them anamtokea tu ila ye hamtaki
3.kujijengea hali ya wewe umuamini n.k
 
Wajinga ndiyo waliwao, ngojea kupachikiwa na mimba kabisa..................!:confused2:

Inawezkana bt hjatoa fact ,kwan yote yanawezkana ndo mana natpata wakati mgum xana kudili na hilo jamb,kama vp toa detail mkuu
 
Kwani we unaitafsiri vipi?
mi yaweza kuwa na maana hizi:
1.anakupa ujumbe usijione wewe ndo wewe wanaompenda ni wengi..
2.anakuwekea mazingira flani ili siku ukiona isiwe ishu tayari taarifa ulikuwa nayo so nothing btn them anamtokea tu ila ye hamtaki
3.kujijengea hali ya wewe umuamini n.k

EVELYN ze way ninavyoona ni kwamb katka post yako kuna ukwel fulani umeuweka lakin hutak kuwa waz,inaonesh kuwa hpa inawzkana kabsa ikawa unataftwa uhalal wa uchakachz
 
Kuna mambo ma2 hapo 1.anaweza kukuambia kuwa ametongozwa il aone uta react vp nahilo jambo.
2. Pia anajiwekea mazngila ambayo hata ukimkuta na mshkaj usingae@mtoa hoja.
 
Chezea mabinti wa mjini wewe!!!
 
Kwani we unaitafsiri vipi?
mi yaweza kuwa na maana hizi:
1.anakupa ujumbe usijione wewe ndo wewe wanaompenda ni wengi..
2.anakuwekea mazingira flani ili siku ukiona isiwe ishu tayari taarifa ulikuwa nayo so nothing btn them anamtokea tu ila ye hamtaki
3.kujijengea hali ya wewe umuamini n.k

Nahc hamna anayebsha kwamba demu uliyemuona mzur kuliko wote na wengne,bt ze matta wat mean when iktokea anatokozwa na kukwambia hua,amekbali au amekataa
 
EVELYN ze way ninavyoona ni kwamb katka post yako kuna ukwel fulani umeuweka lakin hutak kuwa waz,inaonesh kuwa hpa inawzkana kabsa ikawa unataftwa uhalal wa uchakachz

Ukweli upi tena wauhitaji...
kwa nionavo mie hiyo yawezamaanisha moja kati ya hayo au isiwe hivo pia!!!!
 
mara nyingi wasichana wakitongozwa usema kwa wale wasiowapenda
bt kwa wale wanaowapenda uwa ni kimya kimya.
wanasema ili:-
1. waonekane ni waaminifu so ata ukija kumkuta na mshua mwingine hautafikiria vibaya utachukulia simpo kwa kuwa uwa anawakataa.
2. usijeona kuwa hapendwi na wengine (kaa chonjo usijenizarau)
 
mara nyingi wasichana wakitongozwa usema kwa wale wasiowapenda
bt kwa wale wanaowapenda uwa ni kimya kimya.
wanasema ili:-
1. waonekane ni waaminifu so ata ukija kumkuta na mshua mwingine hautafikiria vibaya utachukulia simpo kwa kuwa uwa anawakataa.
2. usijeona kuwa hapendwi na wengine (kaa chonjo usijenizarau)

Ok,nimekuelewa ,kwa mujibu wako atakayekwambia hampend na akikaa kmya.......!kunaashria mamb meng,hvyo kwa mim naona ni bora wawe wanakaa kmya maana kweny ndio ni hapna,na kweny hapana n ndio!
 
mkuu ambao hawajwa fundwa ndo wako hv? gobore
 
Last edited by a moderator:
Hao walofundwa ndio wabaya zaidi hata haya hawaoni....
 
Habar wana jf,
Huwa najiuliza kila mara jibu huwa cpati,kwamba demu wako kila akitongozwa anakwambia huonesha kwamba anakupenda sana? au huwa tayari amekubali anaweka mazingra kwako endapo ukimwona na huyo jamaa ucwe na jambo lakuwaza sana,maana alikwambia alishamkatalia
Hakuna fomula mkubwa aseme asiseme yale yale tu. Anayesema anatafuta namna ya kukueleza siku ukimfuma au kweli wote huwa anawakataa, na asiyesema anayafanya mambo yake kwa siri sana au hafanyi kabisa. So there is no formula. We kaa muamini mwenzio.... And by the way, usije ukajifanya kuutafuta ukweli wa akifanyacho mwenzio wakati huna uwezo wa kuyafanyia kazi matokeo.... YAANI UKAISHIA KUMWACHIA MUNGU. Raha ya maisha ya mapenzi ni kuaminiana, na kama humuamini fanya uchunguzi na uhakikishe matokeo ya uchunguzi unayafanyia kazi.
 
Yaaniiii daaaaa, akitongozwa akimtolea nje anakwambia, yaaaniiii daaaaa akim accept anauchuna hakwambii ana do kweli yaaaaniiii daaaa mkuu chunguza kimya kimya utanipa jibu.
 
Back
Top Bottom