wadau, salaam!
baada ya salam,naomba kuwakumbusha kauli moja aliyoitoa kikwete wakat akimnadi edward lowasa jimbon monduli,! almshka lowasa mkn na kumnyanyua juu huku akimwita,jembe! mpen kura!
kwa kaul hyo ccm wote wamesahau kuwa mwnykt wao alimsafsha lowasa kuwa si fisadi ni jembe?
1.kaul hyo inamaanisha kuwa lowasa hana ufisad wowote,na ni msaf,ndo maana hajashtakiwa
2.ccm mmesahau juz tu kikwete akiaga bunge,alpomtaja tu lowasa,wabunge wa ccm a.k.a wapga meza walimshangilia fisad lowasa?
3,hvi nyie maccm mnakumbuka juz alpokatwa tu fisad lowasa,mliimba kwny mktn wen wkt kikwet akiingia mksema,bdo mna iman na lowasa?
3.ok,hv mnakumbuka kuwa hata mliemwita fisad tena wakuvuliwa gamba ANDREW CHENGE, mlimpa mwnykt wa mojawapo ya kamati za bunge?
4.hv mnajua kuwa hata ROSTAM AZIZ bdo anadunda na hamjawah kumstak?
kwa maelezo hayo,nan anaisifia ccm? nan anamzuia lowasa kuhama ccm et kwa kuwa ni fisad wakat rais wake alimsifia? tena kikwete bngen juz alcma,'ulfanya kaz nzr wkt ukiwa rais!