mtahengerwa
JF-Expert Member
- Jun 28, 2011
- 384
- 173
Mabadiliko aliyofanya Rais Jakaya Kikwete ya kumhamisha mhe. Wassira kwenda wizara ya kilimo chakula na ushirika ni uamuzi sahihi kwani wizara hii inahitaji mtu mwenye kuguswa na maisha halisi ya watanzania ambao wengi wao ni wakulima.
Tumekuwa mashuhuda wa jambo hii kwani kila waziri akipelekwa wizara hiyo hupwaya! Mfano halisi ni prof. Magembe na eng. Chiza, hawa wote badala ya kutatua matatizo ya makulima wao hutengeneza matatizo.
Sasa ni Mara ya tatu kwa mhe. Wassira kuwa katika wizara hiyo kwa kipindi cha uongozi wa Kikwete, hii ina maana kuwa waziri pekee mwenye suluhisho ya matatizo ya watanzania ni Wassira ndio maana kila siku rais anahangaika kumbadilisha na kumpeleka wizara zenye matatizo akatatue na kupambana na changamoto za wizara hizo.
HONGERA SANA WASSIRA!
Tumekuwa mashuhuda wa jambo hii kwani kila waziri akipelekwa wizara hiyo hupwaya! Mfano halisi ni prof. Magembe na eng. Chiza, hawa wote badala ya kutatua matatizo ya makulima wao hutengeneza matatizo.
Sasa ni Mara ya tatu kwa mhe. Wassira kuwa katika wizara hiyo kwa kipindi cha uongozi wa Kikwete, hii ina maana kuwa waziri pekee mwenye suluhisho ya matatizo ya watanzania ni Wassira ndio maana kila siku rais anahangaika kumbadilisha na kumpeleka wizara zenye matatizo akatatue na kupambana na changamoto za wizara hizo.
HONGERA SANA WASSIRA!