Katika hali isiyokuwa ya
kawaida Rais kikwete amekiri kuwakopa wanchi hasa wa wilaya ya Ludewa
mazao yao ya chakula ( mahindi) na kuahidi waendelee kusubiri kwani
serikali haina fedha za kuweza kulipa deni hilo. Mpaka sasa serikali
inadaiwa Tshs. bilioni 27 za mazao hayo. na ameahidi kulipa sh. 10
bilioni tu. Hii inadhihirisha kauli ya Mnyika ya mwezi april ya udhaifu
wa Rais Kikwete kwa kushindwa kutekeleza majukumu yake.