said chand
Member
- Apr 13, 2014
- 19
- 2
Ndugu zangu wanaJf hiv nyie hotuba ya kikwete ya jana mmeielewa vipi? kikwete amepewa nchi ili atutishe kwa kutumia jeshi letu? n
kumbe ule msemo wa kiingereza like father like son hapa kwetu kwa sasa umeshika kas ! Nchi hii lazma ikombolewe na sisi wana wa nchi hii na hii hatajarisha tunatishwa kwa kiasi gan viongiz wanaijificha kwenye kivuli cha waasisi wa TANZANIA. ndugu mim naamin katika msemo wana theologia unaosema SAUTI YA WENGI NI SAUTI YA MUNGU!. Hakna kinacho washinda wale wanaodai haki kwa vile hata kama tukinyamazishwa kwa njia yoyote ile bado vinywa na fikra zetu zitazd kusema yaliyo haki. Bora Mch MTIKILA aliyesema leo tunasherehekea miaka hamsin ya UTUMWA..
Kwann kikwete ameamua kutumia jesh letu kututisha? anataka kutuaminisha kuwa jeshi letu linaunga mkono yale wanayoyafanya? wanaomshauri rais wamemshaauri vibaya na hii itakuwa ni fedheha siku Tanganyika huru itakapozaliwa ikiwa na wimbo wake,jeshi lake,rais wake tena mzalendo na katiba yake tena ya wananchi. TANGANYIKA NI NCHI YANGU NA DAIMA NITAITAFUTA HADI NIIPATE KWA KWA VILE HATA CHIEF MKWAWA NA WENGINE WENGI WALIITETEA KWA GHARAMA KUBWA SANA HATA KUPOTEZA MAISHA YAO. TANGANYIKA NCHI YANGU NAKUPENDA SANA. lazma tuwemajn na viongoz wa ccm vinginevyo tumekwisha. MIMI NI HAYO TU
kumbe ule msemo wa kiingereza like father like son hapa kwetu kwa sasa umeshika kas ! Nchi hii lazma ikombolewe na sisi wana wa nchi hii na hii hatajarisha tunatishwa kwa kiasi gan viongiz wanaijificha kwenye kivuli cha waasisi wa TANZANIA. ndugu mim naamin katika msemo wana theologia unaosema SAUTI YA WENGI NI SAUTI YA MUNGU!. Hakna kinacho washinda wale wanaodai haki kwa vile hata kama tukinyamazishwa kwa njia yoyote ile bado vinywa na fikra zetu zitazd kusema yaliyo haki. Bora Mch MTIKILA aliyesema leo tunasherehekea miaka hamsin ya UTUMWA..
Kwann kikwete ameamua kutumia jesh letu kututisha? anataka kutuaminisha kuwa jeshi letu linaunga mkono yale wanayoyafanya? wanaomshauri rais wamemshaauri vibaya na hii itakuwa ni fedheha siku Tanganyika huru itakapozaliwa ikiwa na wimbo wake,jeshi lake,rais wake tena mzalendo na katiba yake tena ya wananchi. TANGANYIKA NI NCHI YANGU NA DAIMA NITAITAFUTA HADI NIIPATE KWA KWA VILE HATA CHIEF MKWAWA NA WENGINE WENGI WALIITETEA KWA GHARAMA KUBWA SANA HATA KUPOTEZA MAISHA YAO. TANGANYIKA NCHI YANGU NAKUPENDA SANA. lazma tuwemajn na viongoz wa ccm vinginevyo tumekwisha. MIMI NI HAYO TU