Kikuku na mawazo nliyoamini tangu kitambo!

Kikuku na mawazo nliyoamini tangu kitambo!

Voltaire

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2013
Posts
1,850
Reaction score
1,946
Wadau,naamini wengi mshaskia mwanamke akivaa kikuku,either cha gold au shanga mguuni,anakuwa anatuma message,kwamba anafunguliwa buti!..kiaina naanza kuiamini hii,koz kuna manz nlipata kuwa nae kipindi cha nyuma kidogo,tukaanzisha hizo story,yeye aka ngangania kwamba huwa anavaa kwa urembo tu,oukay..nkasema haina kwere...ngoja nianzishe uchokozi...mara moja,mbili,tatu...mtoto si akaingia line aliwe jicho,anadai ndo itakuwa mara yake ya kwanza!sikushangaa sana koz nlimwambia kama sifa ya kikuku ni mbaya kwanini anaendelea kukivaa?..sasa nnaona kama ndo ivo koz issue imejirudia.....hivyo itaniwa vigumu sana kuamin kwamba ni urembo wakati wote wavivaao mwisho wa siku hukubali kutoa jicho.
 
Interesting...so umekula mara mbili ndo umekuja kuwaponda humu?
 
Ulivyosukuma mbolea vipi break kichwa au Pumb.u?
Ulitumia KY jelly au durex??


Sent from my iPad Air using JamiiForums
 
hahaaa...haina maana nlisukuma mbolea man....i'm quite curious!
 
mtazamo wako tu...sijasema kama nilkula jicho bwana denzel!
 
Huyo inelekea alikua anapenda pili na wewe kwanini umshawishi then uconclede kikuku ndio kimesababisha lkn ukumbuke mbona wapo wengine hawavai na wanaliwa vile vile
 
Sipendagi hizi assumption za kiboya boya mxyuuuuu
napenda vikuku ile mbaya hapa penyewe nimevaa
hizo habari za kufiiii utajua mwenyewe....
 
Sipendagi hizi assumption za kiboya boya mxyuuuuu
napenda vikuku ile mbaya hapa penyewe nimevaa
hizo habari za kufiiii utajua mwenyewe....

mmh ka na we unavipenda nazidi pata wasiwasi... lisemwalo lipo
 
sina hakika ktk hili ila endelea kuamin unachoambiwa
 
Back
Top Bottom