Kijiji cha mfano

Ni nzuri ila yakwako ni pana mno. Tunaanzia kwenye nuclear level. Kijiji ambacho wote mnafahamiana na ni bei rahisi. Tukitoka hapo tukaweza tutaenda kwenye kata.
Unajua mkuu huku kwetu hatuna tena ile wanaita suburban. Yaani kila mahali ni uswazi tu sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa bahati mbaya viongozi wetu waliozaliwa chini ya miti na kwenye nyumba za nyasi huko porini hawafikiri hivyo.

Hatujaweza kupanga miji yetu tangu Mjerumani na Mwingereza ndio utajua ilivyo vigumu kupanga vijijini.
 
Yale yale ya Marehemu J.K. Nyerere, si milijifanya kumpinga kiko wapi sasa?? vijiji vingi aliviacha vikiwa vya mfano km kijiji cha ujamaa Moghabiri,

Kongore,

Mwenge ujamaa village kilimiki na Bendi kabisaa ajili ya burudani!

Geza ulole.

Kibugumo ujamaa village,

Ng'aramu,

Kenyamanyori,

Kiribho lift valley

Mugango kwibara,

Mpaka leo vyang'ara si kawaida, kuna Matrekta, Mashamba, maduka, Combined harvest ya kijiji, kwa wananchi wakodi kwa bei nafuu, likiondoka tu kijijini kwenda kufanya kazi mbali bei inapanda.

unasema maisha ambayo wenzako tunayaishi. hata hapo Moshi, Machame, Arusha nk nenda uone mipangilio ya maisha yao! utachoka, hujiulizi kwa nini Wachaga wanapenda kwao kuliko wamakonde na wamatumbi? hata Wafanya kazi wa idara zote za umma uchagani siyo tatizo wakienda tu hawatoki tena. wako tayari kuacha kazi wabaki hukohuko. hujatembea ukajionea!

Mleta mada Kama umezaliwa miaka ya 2000 kuendelea ntakusamehe bure, chini ya hapo wewe ni ulikwaa Division zero! km ulienda shule! hata kibanga ampiga Mkoloni hujui?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…