Kijicho cha wapuuzi kilinisababishia talaka

kizibo1

JF-Expert Member
May 14, 2015
1,187
766
Nilikuwa na mkewangu nimpendaye sana, naye akanipenda vilivyo.kwa ufupi tulipendana mpaka majirani na ndugu wakatupigia mfano
Lakini dunia hii haikosi wabaya, watu wenye kijicho wakaenda kwa wakwe na kuwajaza maneno mengi ya uongo lakini tatizo ni kwamba nilimshikisha adabu jamaa mmoja mmbea sana
Wakwe nao bila kuwaza mara mbili wakamchukua mtoto wao bila hata kutaka usuluhishi
Sijajuta kwakuwa jirani aliyenisababishia yote naye bado anaugulia maumivu ya kipigo ila namuandalia kubwa zaidi lazima nimtie kilema
 
wewe mke wako wakwe zako na huyo jirani yako wote mmekutana hamnazo
 
Nilikuwa na mkewangu nimpendaye sana, naye akanipenda vilivyo.kwa ufupi tulipendana mpaka majirani na ndugu wakatupigia mfano
Lakini dunia hii haikosi wabaya, watu wenye kijicho wakaenda kwa wakwe na kuwajaza maneno mengi ya uongo lakini tatizo ni kwamba nilimshikisha adabu jamaa mmoja mmbea sana
Wakwe nao bila kuwaza mara mbili wakamchukua mtoto wao bila hata kutaka usuluhishi
Sijajuta kwakuwa jirani aliyenisababishia yote naye bado anaugulia maumivu ya kipigo ila namuandalia kubwa zaidi lazima nimtie kilema

!
!
Umemfanyaje aisee..... Daaah hebu leta habari.
 
Story yako umeisimulia haraka haraka... ndiyo maana ukanyang'nywa mke haraka haraka....
 
Nilikuwa na mkewangu nimpendaye sana, naye akanipenda vilivyo.kwa ufupi tulipendana mpaka majirani na ndugu wakatupigia mfano
Lakini dunia hii haikosi wabaya, watu wenye kijicho wakaenda kwa wakwe na kuwajaza maneno mengi ya uongo lakini tatizo ni kwamba nilimshikisha adabu jamaa mmoja mmbea sana
Wakwe nao bila kuwaza mara mbili wakamchukua mtoto wao bila hata kutaka usuluhishi
Sijajuta kwakuwa jirani aliyenisababishia yote naye bado anaugulia maumivu ya kipigo ila namuandalia kubwa zaidi lazima nimtie kilema
Kizibo ujue lisemwalo lipo lazma una tabia mby ndo mana wamekusemea.me siamin km kuna unafk n kijicho na utu uzima huu sijaona.hakuna kupakaziw hapo kuna ukwel jichunguze
 
Kizibo ujue lisemwalo lipo lazma una tabia mby ndo mana wamekusemea.me siamin km kuna unafk n kijicho na utu uzima huu sijaona.hakuna kupakaziw hapo kuna ukwel jichunguze
Ipo siku ukweli utajulikana na kisasi changu nakitunza mpaka hiyo siku
 
Back
Top Bottom