Kijana wa kazi anahitajika

Kijana wa kazi anahitajika

kidu27

Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
21
Reaction score
0
Kwa kijana yeyote wa kiume aliye songea mwenye kuhitaji kazi za kusimamia mashamba na shughuli za bustani anahitajika sifa ni

Awe tayari kuishi mashambani na wafanyakazi

Awe anafanyakazi kwa bidii

Mshahara atalipwa kila baada ya miezi mitatu lakini mahitaji yake ya muhimu yote juu ya mwajiri

Kama upo tayari ni PM
 
Me npo dar naweza kuja kufanya kaz maana me kokote nafanya kaz nichek hapo 0759654144
 
Back
Top Bottom