Jaffary JF-Expert Member Joined Oct 29, 2011 Posts 808 Reaction score 386 Jul 27, 2012 #1 Ni kutoka kilosa-morogoro ambapo kijana huyo alitaka kufanya hivyo baada ya kumshaur baba yake asioe mke wa pili na kughairi.
Ni kutoka kilosa-morogoro ambapo kijana huyo alitaka kufanya hivyo baada ya kumshaur baba yake asioe mke wa pili na kughairi.
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,342 Reaction score 108,433 Jul 27, 2012 #2 dunia haiishi vituko
Nzenzu JF-Expert Member Joined Aug 10, 2011 Posts 858 Reaction score 164 Jul 27, 2012 #3 atakuwa haelewi anachokifanya
Asabaya JF-Expert Member Joined Feb 12, 2012 Posts 1,310 Reaction score 418 Jul 27, 2012 #4 Asiowe kwani anamkera nn au anamuonea wivu babake?
L Lakuchumpa Member Joined Mar 28, 2012 Posts 73 Reaction score 13 Jul 27, 2012 #5 Haelewi umuhmu wa nyet kwa mwanaume. Duah!
Angel Msoffe JF-Expert Member Joined Jun 21, 2011 Posts 6,781 Reaction score 1,657 Jul 27, 2012 #6 yawezekana huyo mke wa pili alikua demu wake
isaya clement Member Joined Jul 18, 2012 Posts 9 Reaction score 0 Jul 27, 2012 #7 atakuwa hajui matatizo yanayo mkabili baba yake na familia yake lazima kuna kikwazo :israel: