Mh.mbunge wetu tunakuomba uje jimboni kusaidia kutatua kero hii nyingi zinazotukabili sisi walimu.Kwanza mwaka jana tulipewa barua za kupanda madaraja kutoka ofisi ya TSD wilaya lakini mkurugenzi MR.Kitundu na Mr.Nganya wametunyang'anya madaraja hayo bila sababu za msingi Mkurugenzi huyo ambae ni mpenda ngono ukiinda ofisini kwake kufatilia barua anakupa masharti ya kukutaka kwanza ndo akusaidie kwa kweli walimu tunanyanyasika.Tunakuomba mbunge wetu uje kututatulia kero zetu la sivyo tutaandamana mpaka kwa mkuu wa mkoa Tabora aje kutuondolea huyu KKITUNDU NA NGANYA