Kigwangalla Umefungasha Virago Ubunge Nzega!

Kigwangalla Umefungasha Virago Ubunge Nzega!

voicer

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2020
Posts
5,545
Reaction score
11,943
Kigwangalla una laana ya yule Twiga uliemgonga kule TarangireNationalPark!

Tangia ile ajali ni kama Dishi lako liliyumba mpaka leo hii.

Na kwa haya unayoyafanya.....

*Kwa kumuandama #Mo-Dewji,kisa alikataa kukukopesha,ili ununuwe Baskeli za kuwahonga wajumbe!

*Kwa upuuzi wako wa kitoto mitandaoni!

*Kwa kuchezea wizara ya Utalii na kina Steve Nyerere!

*Kwa kugombana kila uchao na Makatibu wako wakuu wizarani!
Hatimae ukawekwa pembeni,na katibu mkuu ndie skawa Bosi wako!

*Kwa kuwakejeli wana #Nzega kwamba asiye na ng'ombe hajitambuwi!

*Kwa kumuandama #Bashiru usitarajie kwamba utarudishiwa U-waziri ulioupiteza!

Tunakujua na tunakufahamu!

Ndio maana hata kumtibia baba yako ilibidi ulazimishwe!

Dishi lako #Kigwangalla! Limeyumba tangu ulipoangukiwa na laana ya kumuuwa mnyama Twiga ambae ni nemno ya Taifa!

Ni Rasmi umeanza kufungasha virago Nzega!

Alamsikhi
10101.
JamiiForums-1072075634.jpg
 
Kigwangalla una laana ya yule Twiga uliemgonga kule TarangireNationalPark!

Tangia ile ajali ni kama Dishi lako liliyumba mpaka leo hii.

Na kwa haya unayoyafanya.....

*Kwa kumuandama #Mo-Dewji,kisa alikataa kukukopesha,ili ununuwe Baskeli za kuwahonga wajumbe!

*Kwa upuuzi wako wa kitoto mitandaoni!

*Kwa kuchezea wizara ya Utalii na kina Steve Nyerere!

*Kwa kugombana kila uchao na Makatibu wako wakuu wizarani!
Hatimae ukawekwa pembeni,na katibu mkuu ndie skawa Bosi wako!

*Kwa kuwakejeli wana #Nzega kwamba asiye na ng'ombe hajitambuwi!

*Kwa kumuandama #Bashiru usitarajie kwamba utarudishiwa U-waziri ulioupiteza!

Tunakujua na tunakufahamu!

Ndio maana hata kumtibia baba yako ilibidi ulazimishwe!

Dishi lako #Kigwangalla! Limeyumba tangu ulipoangukiwa na laana ya kumuuwa mnyama Twiga ambae ni nemno ya Taifa!

Ni Rasmi umeanza kufungasha virago Nzega!

Alamsikhi
10101.View attachment 2423367
Duh, watu wana information! Mnazipataga wapi hizi habari? Mpaka kukataa kumtibia baba yake watu wanajua!
 
Watanzania hata ile takwimu ya upelelezi niya kubumba huu ni umbea
 
Duh, watu wana information! Mnazipataga wapi hizi habari? Mpaka kukataa kumtibia baba yake watu wanajua!
Ukiwa Public Figure ujuwe pia wewe ni Public Mafiga!

Kola ukipikacho kikiwiva kitajulikana tu!
 
Kigwangalla una laana ya yule Twiga uliemgonga kule TarangireNationalPark!

Tangia ile ajali ni kama Dishi lako liliyumba mpaka leo hii.

Na kwa haya unayoyafanya.....

*Kwa kumuandama #Mo-Dewji,kisa alikataa kukukopesha,ili ununuwe Baskeli za kuwahonga wajumbe!

*Kwa upuuzi wako wa kitoto mitandaoni!

*Kwa kuchezea wizara ya Utalii na kina Steve Nyerere!

*Kwa kugombana kila uchao na Makatibu wako wakuu wizarani!
Hatimae ukawekwa pembeni,na katibu mkuu ndie skawa Bosi wako!

*Kwa kuwakejeli wana #Nzega kwamba asiye na ng'ombe hajitambuwi!

*Kwa kumuandama #Bashiru usitarajie kwamba utarudishiwa U-waziri ulioupiteza!

Tunakujua na tunakufahamu!

Ndio maana hata kumtibia baba yako ilibidi ulazimishwe!

Dishi lako #Kigwangalla! Limeyumba tangu ulipoangukiwa na laana ya kumuuwa mnyama Twiga ambae ni nemno ya Taifa!

Ni Rasmi umeanza kufungasha virago Nzega!

Alamsikhi
10101.View attachment 2423367
Elimu yake inamsaidia nini kama akili yake inarekebishwa na sangoma asiye na elimu
 
Watanzania hata ile takwimu ya upelelezi niya kubumba huu ni umbea
Kwani yeye #Kigwangalla! anachokifanya cha Masna kwa sasa ni nini zaidi ya umbea na usakatonge
 
Elimu yake inamsaidia nini kama akili yake inarekebishwa na sangoma asiye na elimu
Hapo ndio utajua Tanzania tunayo hazina ya viongozi wa ajabu ajabu kwa kwenda mbele!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom