JK huu moto ukiwaka nchini kote,utaweza kuuzima?
Embu fikiria,umepanga nyumba ya kuishi,mwenye nyumba anadai kodi yake!!!Ulimwambia mwisho wa mwezi ntalipa ukijua kuwa utakuwa umepata salary!!!Then what?mpaka leo tarehe 6 hujajua utalipwa lini!!!hii imekaaje?
Bili ya umeme,maji navyo vinakusubiria,hapo bado matumizi ya nyumbani na nauli ya kwenda kazini!!
Yako wapi maisha bora mlioahidi??