Bagamoyo mpya mbioni
Aliongeza kuwa kwa mwaka huu wa fedha, Serikali imetenga Sh7 bilioni kwa ajili ya kumalizia ulipaji fidia katika eneo la Bagamoyo.
Alifafanua kwamba mwaka 2013/14, kampuni 31 zilipewa leseni za kujenga viwanda chini ya Mamlaka ya EPZ na tayari kampuni nane zimeanza uzalishaji. Kampuni hizo zinatarajiwa kuwekeza mtaji wa jumla ya Dola za Marekani 485 milioni na kuajiri watu 10,276.
Leo nimewasikia waziri mkuu na waziri wake wa ardhi akipiga propaganda pale Bungeni,hivi hawa watu wa Kigamboni mnataka wawe wezi au panya road ndio muwapige risasi !! Mpaka sasa mnajua wanaishije wao na familia zao ikiwa sasa ni mwaka wa sita tangu wazuiwe kufanya shuhuli yoyote ktk maeneo yao ?kuna maneno yanasemwa mtaani itabidi tuyaamini sasa kuwa Kigamboni ilishauzwa kwa George Bush ili awekeze na fedha zote alishatoa serikali imezitafuna kupitia CCM.
Prof Tibaijuka asalimu amri Kigamboni
Akijibu hoja hizo, Profesa Tibaijuka alisema kuanzia sasa atakuwa karibu na Ndungulile na wakazi wa Kigamboni ili waweze kufahamu kila kitu kinachoendelea.
Tibaijuka anatumika kuhalalisha uporaji ardhi Kigamboni | Gazeti la ...
Nakala za barua za kamati zilizotumwa wizarani kuomba kushirikishwa zipo, na majibu ya wizara yaliyotumwa kwa lazima baada ya Rutabanzibwa kuwaamuru watendaji wake wajibu yapo. Sasa huko ndiko kushirikishwa nyumba kwa nyumba, mtaa kwa mtaa na kata kwa kata?
Tanzania: Minister Trumps Fairness in Land Allocation in Dar
19 August 2014
Tanzania: Minister Trumps Fairness in Land Allocation in Dar
Summary NEPOTISM will not be entertained in the land allocation programme as the allotment will be carried out in transparency, the Minister for Lands, Housing and Human Settlements, Prof Anna Tibaijuka, has stated. "Yono Auction Mart won the tender to allocate the lands to Kigamboni and Kurasini following the announcement by the ministry," she said adding; "Residents should not listen to propaganda from people who have been discouraging others from buying shares." Prof Tibaijuka said when completed, the Kigamboni project would tremendously benefit people who reside in the area and that the government was seeking the fund for the project.
VS
Govt suspends plans on Kigamboni satellite city - IPP Media
By Felix Andrew
30th May 2014
Kigamboni Satelite city
Prime Minister Mizengo Pinda told the August House here on Wednesday evening that the process will resume after issued that have to do with involvement of the key stakeholders, including the residents in the area and leaders of Temeke Municipality have been solved.
Pinda was contributing to the budget estimate debate for the Ministry of Lands, Housing and Human Settlement Development which was tabled on Tuesday.
The Premier said there was a need to look again into the whole process of establishing Kigamboni satellite city in order to enable it to be implemented well.
"Let us take this issue and involve a wider section of the people like the councilors and other stakeholders so that they become aware of the entire process," he said.
Prof Anna Tibaijuka, has stated. "Yono Auction Mart won the tender to allocate the lands to Kigamboni and Kurasini following the announcement by the ministry," she said adding;
Nyumba za NHC na NSSF Kigamboni, Dar Es Salaam
"Hivi karibuni kumekuwa na malalamiko toka kwa wananchi kuwa nyumba za bei nafuu (affordable houses) bado si rahisi kwa mwananchi wa kipato cha kati na chini. Bei ya nyumba mpya za NHC hivi karibuni zimekuwa ni zaidi ya TSh 100 millioni kila moja. Bei hii inalalamikiwa kuwa ni kubwa sana kwa mlalahoi".
Photos Of A Massive Chinese-Built Ghost Town In Angola ...
But the apartments in the complex cost somewhere between $120,000 and $200,000 according to online advertisements cited by BBC. Other anecdotal reports put the price of 3-bedroom apartment at about $250,000 (2012)
Wednesday, April 2, 2014
Chinese-Built Angolan "Ghost Town" Wakes Up?
Until recently. Or so it seems. According to the official Angolan news agency, some 40,000 people moved into Kilamba after their families took advantage of long-term, low-cost mortgages to buy flats with prices ranging from US$70,000 to US$140,000. One account said people are standing in line for days to buy one (photo left).
The news stories on Kilamba, the "ghost town" mainly date from 2012.
[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD] Fidia
[/TD]
[TD="width: 314"] 25. Bila kuathiri masharti ya Ibara ya 47(2), Serikali itaweka utaratibu wa kisheria kwa ajili ya malipo ya fidia stahiki endapo eneo au sehemu ya ardhi itachukuliwa kwa matumizi ya maendeleo ya kiuchumi na ya kijamii.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Kikwete Friendship Highway Project & Salama Creek Satellite City Project deals signed in China
SPECIAL REPORT: How NHC plans to transform Tanzania's cities
source:- http://www.thecitizen.co.tz/News/SPE...x/-/index.html
Artistic impressions of some of structures planned for Salama Creek satellite city in Kigamboni.