GE2025 Kigaila: Ukata wa fedha ni tatizo kubwa sana kwa vyama vya upinzani

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mafyangula

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2025
Posts
505
Reaction score
887
Tatizo la kifedha sio la CHAUMMA pekee yake, tatizo la fedha ni la vyama vyote vya upinzani, kwasababu havina msingi imara wa mapato. Kwahiyo kampeni za vyama vya upinzani zinategemea kwa sehemu kubwa mapato ya mgombea binafsi mfano chama kama CHAUMMA akina ruzuku kinapata , kwahiyo ni nguvu ya mgombea binafasi alisema Benson Kigaila, Naibu Katibu Mkuu (Bara), wa CHAUMMA kupitia kipindi cha One on One cha Wasafi TV Oktoba 14, 205.

Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…