Kifo cha mapacha kwa siku moja

Kifo cha mapacha kwa siku moja

Xoldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2017
Posts
424
Reaction score
153
Habari zenu aisee,

Naomba kuuliza kitu,

Hivi kitendo/hali ya mapacha mf. Consolata na Maria, hiyo inaamanishwa siku yao ya kufa ilikuwa moja au miili miwili ilikuwa na roho moja ?.
 
alianza mmoja kwanza kufariki kwa matatizo ya 'respiration' baada ya DAKIKA 15, akafuata mwingine, kila mmoja alikua na 'moyo' wake, ni tumbo (na vingine sivijui) ambavyo walikua wanashare
 
Na je angekufa mmoja, aliyebaki angewezaje kuishi bila ya mwenzake au na mwenzake? Maana walikuwa awajatenganishwa.
 
alianza mmoja kwanza kufariki kwa matatizo ya 'respiration' baada ya DAKIKA 15, akafuata mwingine, kila mmoja alikua na 'moyo' wake, ni tumbo (na vingine sivijui) ambavyo walikua wanashare
Nimeelewa, thanks
 
Back
Top Bottom