Kuosha engine Ni ujinga arifu, Hakuna Gari ambayo imeshawahi kupata matatizo kisa engine yake haijaoshwa lkn Kuna Gari nyingi sana zimeharibika sababu ya engine imeoshwa na maji.
Ushamba unatusumbua hapo kwenye injini mimi napulizaga na upepo wa presha bas vumbi likitoka imetosha ila mtu anataka injini iwake kama kioo wakati hata barabara zetu chafu tu
Kuosha engine Ni ujinga arifu, Hakuna Gari ambayo imeshawahi kupata matatizo kisa engine yake haijaoshwa lkn Kuna Gari nyingi sana zimeharibika sababu ya engine imeoshwa na maji.
Kuna fluid yake inapuliziwa na ile mashine ya kuoshea gari ipo kama povu hivi ikishapita kila sehemu engine inatakata bila hata kusuguliwa inangaa kama mpya.
Nimetumia ipo vema sana na haina shida. Nitakupigia picha ya kopo yake uione maana na mimi nilipewa na mshikaji nikatafute. Nikipata nitaweka hapa duka wanapouza.
Ishu ya kukausha tuu Engine iliyooshwa wahuni wanataka Maelfu hapo hapo kwani angeikausha si angepata chake kutokana na kazi ilivyo ndio maana life inakua ngumu kwa sababu ya watu kutokua waaminifu..
Kwanini unaosha engine ya gari kwa maji kwa hao waosha magari?
Engine ya gari uwe unaifuta mwenyewe kwa kitambaa chenye unyevu, kama kuna sehemu wanaosha kwa kutumia steam peleka lakini si kwa hizo njia za kienyeji.