JASPER JACKSON
Member
- Jul 24, 2013
- 32
- 8
Chama Cha Mapinduzi siku zote ni chama makini kinachoendeshwa kwa misingi ya kanuni na taratibu bila ubabe. Kwa miaka iliyopita chama hiki kikongwe kilionekana kufa kumbe kilikuwa kinajitathimini upya na kujisahihisha upya.
Kutokana na kasi hii ya Rais Magufuli ni imani yangu kuwa CCM kitaendelea kuongozwa dola kwani ni chama pekee barani Afrika kinachokubali kujikosoa na kujisahihisha na kisha kuendana na siasa za ushindani na sio siasa za mazoea. Bado ni chama makini na mimi ni mtu makini.
Hongera CCM yangu.
Kutokana na kasi hii ya Rais Magufuli ni imani yangu kuwa CCM kitaendelea kuongozwa dola kwani ni chama pekee barani Afrika kinachokubali kujikosoa na kujisahihisha na kisha kuendana na siasa za ushindani na sio siasa za mazoea. Bado ni chama makini na mimi ni mtu makini.
Hongera CCM yangu.