Kidumu Chama cha Mapinduzi

sirjohn

JF-Expert Member
Aug 6, 2014
767
678
Wakuu nimetafakali sana nikagundua lazma CCM iwepo na iwe imala itasaidia kupatia viongoz wa nchi Imala..

Tukiwa na CCM imala na upinzani imala nchi itaenda. Kwa hali iliyokuwepo hapo nyuma bila upinzani imala leo hii tusingekuwa na Ngosha.

Kwangu upinzani na CCM waendelee kuwepo, sasa tunahitaji chama kimoja imala chenye nguvu sawa na CCM


Wakenya wanahangaika sana kutokuwepo KANU..twende mbele na nyuma vyama vikongwe vina umhimu wake.
 
Back
Top Bottom