Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,134
......
hatukatai limejengwa kinyume na sheria lakini wakati wanampa vibali walikuwa hawaoni?
mimi nawaomba walivunje sasa kwani wataiokoa tanesko na mzigo batili wa kodi ya jengo kwani najua kwa uchakachuaji wa sasa kodi ya mwaka mmoja wanaweza kujenga jengo lao.
La Riz1 lile
..Mheshimiwa Spika, hata Jengo la Tanesco pale Ubungo liko ndani ya Road reserve, hivyo nalo litavunjwa, hata kama si leo, lakini litavunjwa. Pia hata kama si mimi ni mwingine; tuzingatie sheria zinavyosema..
Hii ni dalili ya usanii huku kutafuna tafuna maneno kuna ashiria udhaifu fulani katika kufanya maamuzi magumu kama haya.Bomoa tujue kwamba hakuna aliye juu ya sheria na kwamba sheria imenyooka hata kwa wenye pesa sio kwa walalahoi tu
Ringo Edmund, naomba ufafanuzi wa thread yako. Kwani hilo jengo hao tanesco a.k.a tanesko wamekoshiwa ama la kwao?