kichekesho cha leo hii!

Joined
May 28, 2013
Posts
91
Reaction score
17
KICHEKESHO CHA LEO HII.
==============================

Bili ilivyomchanganya Masawe; Masawe
alienda na rafiki zake Bar kunywa, baada ya
kumaliza kunywa bili ikaletwa kama
ifuatavyo;

1). Manka = sh.35,000.

2). Marieta = sh.20,000.

3). Kekuu = sh.30,000.

4). kitime = sh.15,000.

5). Kinabo = sh.10,000.

TOTAL = SH.110,000.

Masawe akaicheki bili akasema; wote
nitawalipia, lakini huyo TOTAL ''Yesuu'' simlipii
kabisa. Kwansa anamiliki sheli kibao sa
mafuta hapa Bongo....shensi taaip! na
amekunywa nyingi kuliko wote, alipe
mwenyewe.KICHEKESHO CHA LEO HII.
==============================

Bili ilivyomchanganya Masawe; Masawe
alienda na rafiki zake Bar kunywa, baada ya
kumaliza kunywa bili ikaletwa kama
ifuatavyo;

1). Manka = sh.35,000.

2). Marieta = sh.20,000.

3). Kekuu = sh.30,000.

4). kitime = sh.15,000.

5). Kinabo = sh.10,000.

TOTAL = SH.110,000.

Masawe akaicheki bili akasema; wote
nitawalipia, lakini huyo TOTAL ''Yesuu'' simlipii
kabisa. Kwansa anamiliki sheli kibao sa
mafuta hapa Bongo....shensi taaip! na
amekunywa nyingi kuliko wote, alipe
mwenyewe.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…