Kuna toto la mtu ushalitia mimba huko. Unavyosikia kichefuchefu na yeye hivyo hivyo huko alipo.
Kuna baadhi ya mimba baba nae anapata dalili zake. Omba Mungu usianze kutamani udongo tu, maana dume kubwia udongo na vichekesho.
Ukipata muda google hii couvade syndrome