Kichaa mmoja tanga

ALINE KLEYPAS

Member
Joined
Mar 5, 2015
Posts
29
Reaction score
2
Wengi walivunja mbavu katika mji wa tanga baada ya kichaa mmoja kununua kiberiti iliyokuwa imechorwa kifaru.La kushangaza ni kuwa alikuwa amekataa dawa kwa muda mrefu.Alipotingisha kile kiberiti ndani yake alisikia kuna vitu vinatingishika.Hapo ndipo alitoka mbio huku yuapiga mayowe na kumwacha mwenye duka akiwa ameduwaa.Njiani alisikia mfwatuko wa pikipiki iliyokuwa mbioni ikielekea dar.Hapo ndipo aliongezea mbio asifikiwe na huyu kifaru aliyekuwa ndani ya kiberiti.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…