Baba yake charlison
Member
- Jul 9, 2020
- 31
- 24
Nilizama penzini na binti wa kisukuma lahasha i take as mythical issue but dah mwanamke uyu aka jaaa kwa penzi langu akazama mazima. 
Then after nikavimba kichwa,sifichi makucha yangu na mademu wangu wa njee ka tamaa za mwili,akusita kuniambia, alikaaa kulia kifuani kwangu lakin kidume mim mjinga nikavimba kichwa na kuendeleza mienendo yangu
Sitasahau usiku mmoja tukiwa tumelal akasema leo ndosiku ya mwisho kukupenda, nilicheka san nikijua awez, dah kesho yake simpati kwa simu. Hakika niliumwa sana nikaja gundua nampendaa.
Dah! Kidonda kilikauka lakin kikarudia tena jerah nilivyo anzisha mahusiano mengine awa ni vimbwanga yaani hawawezi kuponya donda langu.
Kwako mpendwa leo nakuwaza sana naijua thamani yako forever remember u love you Vivian
yote kwa yote tueshimu watu watupendao

Then after nikavimba kichwa,sifichi makucha yangu na mademu wangu wa njee ka tamaa za mwili,akusita kuniambia, alikaaa kulia kifuani kwangu lakin kidume mim mjinga nikavimba kichwa na kuendeleza mienendo yangu
Sitasahau usiku mmoja tukiwa tumelal akasema leo ndosiku ya mwisho kukupenda, nilicheka san nikijua awez, dah kesho yake simpati kwa simu. Hakika niliumwa sana nikaja gundua nampendaa.
Dah! Kidonda kilikauka lakin kikarudia tena jerah nilivyo anzisha mahusiano mengine awa ni vimbwanga yaani hawawezi kuponya donda langu.
Kwako mpendwa leo nakuwaza sana naijua thamani yako forever remember u love you Vivian
yote kwa yote tueshimu watu watupendao

anyway polee