Mkalukungone mwamba
Member
- Aug 29, 2022
- 84
- 175
Yaani mashaabiki na wadau wa kabumbu wana ULEMAVU WA KUFIKIRIA.Kibu analeta sanaa ya mpira kama walifanya wakina Fei na Dube, Simba wajiandae kwa lolote
Kiungo mshambuliaji wa Simba sc Kibu Densi amegoma kusaini mkataba mpya akiwa ameweka vikwazo vingi kwa viongozi wa Simba.
Na inavyoonesha Kibu aonekana ana ofa kubwa zaidi nje ya mipaka ya Tanzania kwahiyo ameanza kushinikizwa na wanao msimamia na yeye mwenyewe ameonyesha nia ya kutoendelea kucheza Simba.
Sasa ukilitazama hili suala binafsi bado naona kuna sanaa inayoendelea kwa wachezaji wengi baada ya kupata jina kubwa na kuibwa ndani ya klabu yake yaani kuonesha kuwa ni muhimu kwahiyo inapelekea kutumia fursa ya kupiga hela ndefu.
Lakini kwa ushauri wangu tu hizi sanaa ni mbaya kama mchezaji aliyekuwa kama anahisi anahitaji kwenda kucheza mpira sehemu nyingi aende kwa mazungumzo mazuri na viongozi kuliko kufanya vituko kama anavyovifanya Kibu au Feisal na Dube.
Feisal alishatengeneza hiyo desturi, na upande wa pili mlishangilia, sasa msumeno unaitikia kwenu. Tuvumilie tu!Kibu analeta sanaa ya mpira kama walifanya wakina Fei na Dube, Simba wajiandae kwa lolote
Kiungo mshambuliaji wa Simba sc Kibu Densi amegoma kusaini mkataba mpya akiwa ameweka vikwazo vingi kwa viongozi wa Simba.
Na inavyoonesha Kibu aonekana ana ofa kubwa zaidi nje ya mipaka ya Tanzania kwahiyo ameanza kushinikizwa na wanao msimamia na yeye mwenyewe ameonyesha nia ya kutoendelea kucheza Simba.
Sasa ukilitazama hili suala binafsi bado naona kuna sanaa inayoendelea kwa wachezaji wengi baada ya kupata jina kubwa na kuibwa ndani ya klabu yake yaani kuonesha kuwa ni muhimu kwahiyo inapelekea kutumia fursa ya kupiga hela ndefu.
Lakini kwa ushauri wangu tu hizi sanaa ni mbaya kama mchezaji aliyekuwa kama anahisi anahitaji kwenda kucheza mpira sehemu nyingi aende kwa mazungumzo mazuri na viongozi kuliko kufanya vituko kama anavyovifanya Kibu au Feisal na Dube.
Takea lini hao viongozi walikuwa na akili?Mtu ana goli 1 mechi 20 wa nini? Viongozi wa simba wajinga sana
🤣🤣🤣🤣Simba ifumuliwe yote waondoke wote wabaki wale wafia timu tuu wanaojulikana kina zimbwe..
Naunga mkono hojaYaani mashaabiki na wadau wa kabumbu wana ULEMAVU WA KUFIKIRIA.
Yaani mchezaji KUJITHAMINI na kutambua ubora wake ili alipwe lingana na thamani yake eti wao wanaita ni USANII!
Mkuu,Hivi kibu ana mpira gani sasa wa kupewa attention kiasi hiki
Kibu nae ana majukumu,mpira ni kazi mwacheniKibu analeta sanaa ya mpira kama walifanya wakina Fei na Dube, Simba wajiandae kwa lolote
Kiungo mshambuliaji wa Simba sc Kibu Densi amegoma kusaini mkataba mpya akiwa ameweka vikwazo vingi kwa viongozi wa Simba.
Na inavyoonesha Kibu aonekana ana ofa kubwa zaidi nje ya mipaka ya Tanzania kwahiyo ameanza kushinikizwa na wanao msimamia na yeye mwenyewe ameonyesha nia ya kutoendelea kucheza Simba.
Sasa ukilitazama hili suala binafsi bado naona kuna sanaa inayoendelea kwa wachezaji wengi baada ya kupata jina kubwa na kuibwa ndani ya klabu yake yaani kuonesha kuwa ni muhimu kwahiyo inapelekea kutumia fursa ya kupiga hela ndefu.
Lakini kwa ushauri wangu tu hizi sanaa ni mbaya kama mchezaji aliyekuwa kama anahisi anahitaji kwenda kucheza mpira sehemu nyingi aende kwa mazungumzo mazuri na viongozi kuliko kufanya vituko kama anavyovifanya Kibu au Feisal na Dube.
Mtani wangu unatakiwa utambue kuwa mpira wa sasa ni uwekezaji! Na ninaposema hivyo, namaanisha pesa! Siku hizi hakuna tena mambo ya kufia timu.Simba ifumuliwe yote waondoke wote wabaki wale wafia timu tuu wanaojulikana kina zimbwe..
Ni upumbavu, mwenzio anatafuta Ugali….wake we upo kwenye starehe yeye yupo KAZINIYaani mashaabiki na wadau wa kabumbu wana ULEMAVU WA KUFIKIRIA.
Yaani mchezaji KUJITHAMINI na kutambua ubora wake ili alipwe lingana na thamani yake eti wao wanaita ni USANII!
Sasa kibu si wamuachie haraka sanaKibu analeta sanaa ya mpira kama walifanya wakina Fei na Dube, Simba wajiandae kwa lolote
Kiungo mshambuliaji wa Simba sc Kibu Densi amegoma kusaini mkataba mpya akiwa ameweka vikwazo vingi kwa viongozi wa Simba.
Na inavyoonesha Kibu aonekana ana ofa kubwa zaidi nje ya mipaka ya Tanzania kwahiyo ameanza kushinikizwa na wanao msimamia na yeye mwenyewe ameonyesha nia ya kutoendelea kucheza Simba.
Sasa ukilitazama hili suala binafsi bado naona kuna sanaa inayoendelea kwa wachezaji wengi baada ya kupata jina kubwa na kuibwa ndani ya klabu yake yaani kuonesha kuwa ni muhimu kwahiyo inapelekea kutumia fursa ya kupiga hela ndefu.
Lakini kwa ushauri wangu tu hizi sanaa ni mbaya kama mchezaji aliyekuwa kama anahisi anahitaji kwenda kucheza mpira sehemu nyingi aende kwa mazungumzo mazuri na viongozi kuliko kufanya vituko kama anavyovifanya Kibu au Feisal na Dube.