Uraibu (addiction) inafichwa na hali nzuri ya maisha......ndio maana Marekani unakuta mtu yupo fresh na maisha yake kumbe anakunywa dawa za uwendawazimu....
Uraibu (addiction) inafichwa na hali nzuri ya maisha......ndio maana Marekani unakuta mtu yupo fresh na maisha yake kumbe anakunywa dawa za uwendawazimu....
nIlikuwa naona jamaa anaitwa mzee wa konyagi nikawa sielew,hv karibuni ndo nikaona picha aliyopiga bahat mbaya kulikuwa na kachupa ka konyagi,sasa kuanzia hapo wabongo wameshikilia bango utazan wao huwa hawatumii
nIlikuwa naona jamaa anaitwa mzee wa konyagi nikawa sielew,hv karibuni ndo nikaona picha aliyopiga bahat mbaya kulikuwa na kachupa ka konyagi,sasa kuanzia hapo wabongo wameshikilia bango utazan wao huwa hawatumii