Nimeshangazwa na u-turn ya baadhi ya watangazaji wa clouds kwa jinsi wanavyobeza utendaji wa serikali ya tano. Mfano leo katika kipindi cha jahazi ,kibonde wa clouds anabeza utumbuaji wa majibu,eti kila kukicha ni fukuza fukuza.
Binafsi nimechukizwa sana na kauli hii na nina jiuliza ni nini hasa dhamira ya mtangazaji huyu.
Tumekuwa tukichukizwa sana na ufisadi na uzembe serikalini,iweje leo tumempata rais mwenye dhamira ya dhati ya kushughulikia majipu halafu atokeze mtu kwa kutumia jukwaa kubwa kama clouds abeze juhudi hizo?
Naamini wengi wa wanaolalamika aidha ni mawakala wa majipu au ni wanufaika na wametega mirija yao wananyonya kifisadi, sasa mimi nasema RAIS ENDELEA MBELE KWA MBELE asilimia kubwa sana naweza sema 99% ya watz ndio mambo tulikuwa tunatamani kuona nidhamu na weledi serikalini....
Binafsi nimechukizwa sana na kauli hii na nina jiuliza ni nini hasa dhamira ya mtangazaji huyu.
Tumekuwa tukichukizwa sana na ufisadi na uzembe serikalini,iweje leo tumempata rais mwenye dhamira ya dhati ya kushughulikia majipu halafu atokeze mtu kwa kutumia jukwaa kubwa kama clouds abeze juhudi hizo?
Naamini wengi wa wanaolalamika aidha ni mawakala wa majipu au ni wanufaika na wametega mirija yao wananyonya kifisadi, sasa mimi nasema RAIS ENDELEA MBELE KWA MBELE asilimia kubwa sana naweza sema 99% ya watz ndio mambo tulikuwa tunatamani kuona nidhamu na weledi serikalini....