Kibegi cha makombe Simba chatelekezwa

dem boyz

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2016
Posts
7,340
Reaction score
16,908
Katika hali ya kushangaza kibegi maarufu cha mashabiki lia lia wa Simba kimeonekana kutelekezwa vichakani,kuelekea mwisho wa msimu ambapo Simba sc wakionekena kukata tamaa kupata hata kikombe cha al kasusu wameona kibegi hicho labda ni gundu kwa timu na kuamua kukitelekeza vichakani

Timu hiyo imebakiza kombe moja tu ambalo nalo ili kulipata labda bingwa wa kihistoria asilete timu tarehe 15 ili wapate ushindi wa mezani na kuweza walau kupata chochote msimu,huku bingwa huyo wa kihistoria anaonekana nae anataka kuleta timu ili simba akose chochote kitu msimu huu
 
πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† Simba ni content itumie vzr upige hela huko mainstagramuni...na matiktokuni....
 
Tumia wakati wako vizuri kijana..
Sie tushafika Fainali ya CAF...
Kibegi kimebakia na kombe moja la nbc...
πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜†
Haha! mmeshatupa begi maana yake hamna tena hali, hamu wala tumaini...
ila mbio mlizokimbia si haba mnafaa kuwa wanariadha...πŸ˜‚
 
Lile la Kisigu limo humo
 
Haha! mmeshatupa begi maana yake hamna tena hali, hamu wala tumaini...
ila mbio mlizokimbia si haba mnafaa kuwa wanariadha...πŸ˜‚
Anaezibeza mbio za Simba hana tofauti na zuzu maji...
Hahahaha πŸ˜† πŸ˜†
 
Tarehe 15 yanga wapeleke team bhana hakuna kuachia kombe kijinga namna hiyo

Kombe lenyewe Lina million 700 na ushee
 
Mkuu wapi iyo.
 
Mpaka muda huu tuna kikombe cha rank tu! Mimi kama shabiki wa simba nashauri Mangungu na Fadlu Davis watuachie timu yetu.

Bora tumpe timu mtaalam wa soka hapa jamii forums ndugu GENTAMYCINE ili atuondolee hizi aibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…