Wanabodi wasalaam.
Kibali changu cha uhamisho kimetoka japo kimekosewa kwenye kada.
Mimi niko idara ya afya na kibali changu kimetoka kikiwa kinani'refer Kama mwalimu.
Nifanyeje? Msaada wanandugu.
Wanabodi wasalaam.
Kibali changu cha uhamisho kimetoka japo kimekosewa kwenye kada.
Mimi niko idara ya afya na kibali changu kimetoka kikiwa kinani'refer Kama mwalimu.
Nifanyeje? Msaada wanandugu.
Wanabodi wasalaam.
Kibali changu cha uhamisho kimetoka japo kimekosewa kwenye kada.
Mimi niko idara ya afya na kibali changu kimetoka kikiwa kinani'refer Kama mwalimu.
Nifanyeje? Msaada wanandugu.
Hii ndo shida ya kujifanya unajua maswala ya utumishi kumbe wewe ni empty vessel,Huwa nashauri kama hujui jambo ni Bora kukaa kimya kabisa.
barua ya uhamisho Huwa unafikia kwa mkuu wako wa idara, huyo ndo anakuwa na uwezo wa kukuruhusu ikiwa hakuna mashaka,na kama Kuna mashaka atahoji,sasa kwa hoja ya huyo jamaa,ni ngumu mkuu wake wa idara kumpa go ahead wakati barua yake Ina makosa,
Chakufanya awasiliane na mamlaka zilizotoa hiyo barua ili kuondoa huo utata.