Hii kali. Kabla hawajaja kujbu naomba kukuuliza hivi:
Huyo jamaa ametenda mengi mabaya, je ataomba radhi kwa yote aliyoyafanya kabla ya hapo? Mfano kuomba radhi waume wote wa wanawake alio cheat nao, au kuwatukana au kuwasengenya. Kama hapana kwa nini anataka kufanya selective confessions? Kuna wakati mtu unajibebesha guilty zisizo na sababu wakati Mungu anasema dhambi zako amezisahau na ni kama Mashariki ilivyo mbali na Magharibi. Amuombe Mungu amsaidie katika kuamua hilo.