Kibaha hakuna maji siku ya tano

bigcell

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2010
Posts
219
Reaction score
60
Mji wa kibaha leo tuna siku ya 5 hatuna maji na hakuna Taarifa yoyote toka Dawasa kuwa kuna tatizo gani
 
Mji wa kibaha leo tuna siku ya 5 hatuna maji na hakuna Taarifa yoyote toka Dawasa kuwa kuna tatizo gani
Kwanini Dawasa(Dar es salaam) ahudumie hadi Kibaha(Pwani). Tatizo linaanzia hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…