Kunamtu teyal nafanyanae biashara kesho leo nilichelewa toka kwenye mizunguko yangi
Ungepelekea wenye maduka ya mavazi....naamini mzigo ungetoka faster
Maduka ya mavazi? duh
Kiatu ni nini?
aaaah mwl? kwa iyo wataka jibu
Nilitaja viatu kwenye kundi la mavazi ukastaajabu ndo maana nikataka kujua kiatu kipo kwenye category gani?