Khabari za Uhakika,Tb Joshua Products

Khabari za Uhakika,Tb Joshua Products

Vaislay

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2011
Posts
4,532
Reaction score
1,840
Nimetoka kufatilia leo zile products za Man of God,Nimependa kushare nanyi taarifa hizi:

Products za SCOAN hazipatikani kwa sasa,si kwa anoiting water za zamani wala hizi mpya, Wanaozipata ni wale wanaoenda kulekule na haijulikani ni lini tena zitakuwa zinapatikana...
nimeambulia kurudi na sticker tu za LET LOVE LEAD


Ombi binafsi:kwa yule atakayeenda SCOAN naomba anipm tafadhali...
 
Nimetoka kufatilia leo zile products za Man of God,Nimependa kushare nanyi taarifa hizi:

Products za SCOAN hazipatikani kwa sasa,si kwa anoiting water za zamani wala hizi mpya, Wanaozipata ni wale wanaoenda kulekule na haijulikani ni lini tena zitakuwa zinapatikana...
nimeambulia kurudi na sticker tu za LET LOVE LEAD


Ombi binafsi:kwa yule atakayeenda SCOAN naomba anipm tafadhali...

Tafadhali ndugu nitaarifu nami kama utapata anayekwenda huko
 
Ningependa kujua wandugu..kuna mawakala wangapi wa Tb Joshua hapa dar..ukiacha yule wa benjamini tower
 
Ningependa kujua wandugu..kuna mawakala wangapi wa Tb Joshua hapa dar..ukiacha yule wa benjamini tower

Martha (benjamin tower) ndo anayejulikana...hao wengine kwakweli sielewi.

japo wanadai yuko mwingine mikocheni sijui mara mbezi...akili kichwani kwako mkuu
 
Leo TBJ haonekani Emmanuel TV inasemekana yuko Columbia. Kuna wise man mmoja aliyekuwa anawalaumu Wanigeria kwa kutokumheshimu sana TBJ na kudai kuwa tangu zamani nabii hathaminiwi nyumbani kwake. Amesema kuwa huko Columbia TBJ amepata mwaliko kutoka nchi 9 ili akafanye mahubiri huko na kuwaonya Wanigeria kuwa sasa nao wataanza kumsikia tu TBJ badala ya kumwona Lagos. Sasa wale wanaotaka hizo products watazifuata huko aliko au watazipata Nigeria hata bila TBJ kuwepo?
 
Leo TBJ haonekani Emmanuel TV inasemekana yuko Columbia. Kuna wise man mmoja aliyekuwa anawalaumu Wanigeria kwa kutokumheshimu sana TBJ na kudai kuwa tangu zamani nabii hathaminiwi nyumbani kwake. Amesema kuwa huko Columbia TBJ amepata mwaliko kutoka nchi 9 ili akafanye mahubiri huko na kuwaonya Wanigeria kuwa sasa nao wataanza kumsikia tu TBJ badala ya kumwona Lagos. Sasa wale wanaotaka hizo products watazifuata huko aliko au watazipata Nigeria hata bila TBJ kuwepo?

umeuliza swali zuri hebu wacha tufatilie jibu sahihi kabla hatujaingizwa chaka na wanigeria...
 
ulitaka nitumie neno gan? weka wewe basi neno litakalo leta maana nzuri

Hivi nyie mna viongozi wa kiroho kweli?. Umeokoka?. Enyi kizazi msiokuwa na imani kwa Mungu. Amelaaniwa aendaye misri kutafuta msaada. Hivi anointing water ina tofauti gani na kikombe cha babu?.
 
Hivi nyie mna viongozi wa kiroho kweli?. Umeokoka?. Enyi kizazi msiokuwa na imani kwa Mungu. Amelaaniwa aendaye misri kutafuta msaada. Hivi anointing water ina tofauti gani na kikombe cha babu?.

acha kila mtu aamini anachoamini...
njia ya ahela sio moja mkuu kusema tutaongozana kwenda wote
 
acha kila mtu aamini anachoamini...
njia ya ahela sio moja mkuu kusema tutaongozana kwenda wote

Ya akhera haiko moja ila ya kwenda mbinguni ni moja tu nayo ni Kristo Yesu tu.
 
Ninahitaji sana annointing water. Mwenye kufahanu genuine iko wapi nijulishe tafadhali.
 
Back
Top Bottom