PostGE2025 Kesi ya uhaini dhidi ya Lissu imeishia wapi?

PostGE2025 Kesi ya uhaini dhidi ya Lissu imeishia wapi?

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Mrao keryo

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,217
Reaction score
2,840
Wakuu Kesi ya uhaini dhidi ya Lissu imeishia wapi? nini kinaendelea? alishahukumiwa? kama bado,je yupo jela kwa kigezo gani hadi muda huu?

Naomba kujuzwa wakuu!
 
downloadfile.jpg
 
Wakuu Kesi ya uhaini dhidi ya Lissu imeishia wapi?nini kinaendelea?alishahukumiwa?kama bado,je yupo jela kwa kigezo gani?hadi muda huu?naomba kujuzwa wakuu!
ni uonezi tu wa watawala hakuna kesi hapo.
 
Ipo siku yaja kwa kasi sana, zamu yao ikifika na itafika kwa wao kwenda gerezani, na watalazimika na kumuomba muongozo wa namna ya kuishi na bwana jela na wafungwa wengine... hilo litatimia muda si mrefu...( Ajidhaniaye amesimama, aangalie asiangue, na akianguka, anguko lake litakuwa kuu sana na lenye kishindo na mwangi wa juu sana ...) -- AMEN
 
Back
Top Bottom