Kesi ya Tundu Lissu

Mungu ni mwema sana na ninamini kesho atakwenda kusimamia haki itendeke ili huyu lissu mgomvi na mwenye kiburi akapate kuenguliwa kwenye nafasi yake kwani yupo hapo kimakosa na hana maadili ya uongozi.

Kenge mzee wewe.
 
Kwa hbr za ndani CCM wanataka kutoa Lissu madaraki. Ngoja tusikie manake nia yao ni Lema na Lissu tu.
 
Kuna rafiki yangu mkubwa huko serikalini wiki tatu zimepita aliniambia kwa kiburi kwamba Lema,Lissu Mnyika watapigwa chini ,kwa hiyo tutegemee the worse,tayari alikuwa anatamba kwamba na chaguzi zikirudiwa watashinda kwa kishindo aliniambia eti Lissu ni mwehu alishalawzwa Milembe
I hate CCM and her government
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…