Mathias Raymond Nyakapala
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,181
- 1,494
TANGAZO TANGAZO TANGAZO TANGAZO












CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO(CHADEMA)WILAYA YA DODOMA MJINI
Pamoja na salamu za chama CHADEMA-VEMA...
Ndugu kiongozi/mwanachama na wapenda mabadiliko wote.......... nawakumbusha kesi ya kamanda wetu mpambanaji......
Mheshimiwa SAED KUBENEA Mbunge wa Ubungo ni kesho
Tarehe:26/07/2017
Muda:Saa MBILI asubuhi
Sehemu: Mahakama ya wilaya DODOMA
Ukipata ujumbe huu mwambie na mwenzako....tafadhari fika bila kukosa ili kuonyesha NGUVU YA UMMA
TUNAJIVUNIA...."NGUVU YA UMMA"
Imetolewa na
Mathias Raymond Nyakapala
Katibu wa Wilaya
Sent using Jamii Forums mobile app












CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO(CHADEMA)WILAYA YA DODOMA MJINI
Pamoja na salamu za chama CHADEMA-VEMA...
Ndugu kiongozi/mwanachama na wapenda mabadiliko wote.......... nawakumbusha kesi ya kamanda wetu mpambanaji......
Mheshimiwa SAED KUBENEA Mbunge wa Ubungo ni kesho
Tarehe:26/07/2017
Muda:Saa MBILI asubuhi
Sehemu: Mahakama ya wilaya DODOMA
Ukipata ujumbe huu mwambie na mwenzako....tafadhari fika bila kukosa ili kuonyesha NGUVU YA UMMA
TUNAJIVUNIA...."NGUVU YA UMMA"
Imetolewa na
Mathias Raymond Nyakapala
Katibu wa Wilaya
Sent using Jamii Forums mobile app
