Kesi ya Mwangosi..

moyAfricatzz

Member
Joined
Mar 7, 2016
Posts
56
Reaction score
29
Habari za usiku huu wakuu,nimefTilia kesi ya daudi mwangosi(marehemu)...mara zote kesi ilipokua inatajwa.mtuhumiwa alikua anafungwa kitambaa ili asionekane..je ni kwa nini au kuna sababu ya msingi ya kumfunga kitambaa asionekane??
Msaada tafadhali.
 
Habari za usiku huu wakuu,nimefTilia kesi ya daudi mwangosi(marehemu)...mara zote kesi ilipokua inatajwa.mtuhumiwa alikua anafungwa kitambaa ili asionekane..je ni kwa nini au kuna sababu ya msingi ya kumfunga kitambaa asionekane??
Msaada tafadhali.
huyo ni kwamba ccm ndiyo iliyomtuma na hicho kitambaa wanataka kutuamisha kuwa kafungwa kumbe ataamishwa mkoa.lakini tulishamjua.

swissme
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…