Kesi ya Mgeja, Guninita Vs Paul Makonda

Mdakuzi mkuu

JF-Expert Member
Dec 27, 2016
212
719
Ndugu zangu,poleni na majukumu ya kutwa nzima!

Kumekuwepo na kesi iliyofunguliwa na Ndg Hamis Mgeja na John Guninita dhidi ya Paul Makonda iliyotokana na wao wawili (kudai) kukashifiwa, kutukanwa, kudhihakiwa na Paul Makonda wakati wa harakati za uchaguzi mkuu uliopita, 2015.

Kwa maana hiyo, hao makada wawili wakawa wanadai fidia ya TZS 100 MIL kila mmoja kwa kuchafuliwa majina yao,na walifungua kesi mahakamani,Dsm.

Ikumbukwe pia, Mgeja amewahi kuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Shinyanga na Guninita amewaki kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dsm

Mwenye updates za hii kesi, ili kama wameyamaliza tujue, kama yamewekwa pending tujue pia.

Asanteni sana.
 
Watakuwa hawajipendi.
Maana makonda ni mtoto wa karibu(anayependwa) zaidi kuliko hata pm
 
Huyo wanaemuita mungu mdogo nasubiria baada miaka 10 ya mfalme mkuu akitoka sijui na yeye atastaafu....maana sioni waziri au mwanasiasa yeyote wa ccm akifanya nae kazi maana sasa anawapandia vichwani awaziri woote na kuwapelekesha kisa ana access kupeleka umbea ukasikilizwa kufanyiwa kazi...wambea wanasema jamaa binduki yake inatoa povu..mwaka 8 mtoto wa watu anamtesa tu anamtukanisha kuwa anajaza choo...kumbe yeye ndio pofuuuuu
$
Ndugu zangu,poleni na majukumu ya kutwa nzima!

Kumekuwepo na kesi iliyofunguliwa na Ndg Hamis Mgeja na John Guninita dhidi ya Paul Makonda iliyotokana na wao wawili (kudai) kukashifiwa, kutukanwa, kudhihakiwa na Paul Makonda wakati wa harakati za uchaguzi mkuu uliopita, 2015.

Kwa maana hiyo, hao makada wawili wakawa wanadai fidia ya TZS 100 MIL kila mmoja kwa kuchafuliwa majina yao,na walifungua kesi mahakamani,Dsm.

Ikumbukwe pia, Mgeja amewahi kuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Shinyanga na Guninita amewaki kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dsm

Mwenye updates za hii kesi, ili kama wameyamaliza tujue, kama yamewekwa pending tujue pia.

Asanteni sana.
 
Back
Top Bottom