Kesi Tamu Sana!
Albeit, the case before Makahama, dolour to Dr Slaa; you have a doctorate law degree, and understand Latin well:
Ignorantia juris non excusat (ignorantia legis neminem excusat)!
Shall the law establish, prima facie, the existence of wilful blindness on your part when taking in Josephine and children?
The burden of proof is initially on the plaintiff (Mr. Mahimbo)!
But due to technical situations, the burden may shift to you (Dr Sla) to refute or rebut submitted evidence.
Shall there be any reasonable probability that you (Dr Slaa) were negligent in causing Mr. Mahimbo's alleged injury?
You took in Josephine (as "kimada") to be your fiancée.
You took in Josephine's children.
Kesi Tamu Sana!
Albeit, the case before Makahama, dolour to Dr Slaa; you have a doctorate law degree, and understand Latin well:
Ignorantia juris non excusat (ignorantia legis neminem excusat)!
Shall the law establish, prima facie, the existence of wilful blindness on your part when taking in Josephine and children?
The burden of proof is initially on the plaintiff (Mr. Mahimbo)!
But due to technical situations, the burden may shift to you (Dr Sla) to refute or rebut submitted evidence.
Shall there be any reasonable probability that you (Dr Slaa) were negligent in causing Mr. Mahimbo's alleged injury?
You took in Josephine (as "kimada") to be your fiancée.
You took in Josephine's children.
Unenayo ni kweli. Jesphine ndiyo haswa alipasa kuwa mdaiwa wa mahimbo. lakini nadhani wewe na mimi na kila mtu mwingine mwenye uelewa (isipokuwa wale mashabiki wa JK) anajua fika kwamba kesi hii ni mradi wa akina Makamba/Kinana dhidi ya Slaa.
Unajua, unapukuwa na chuki na mtu, huwi muangalifu katika kumchagulia tusi. majai wanatkiwa waitupilie mbali hiyo kesi siku ya mwanzo tu -- lakini si unajua tena majaji wetu walivyo? Miezi kadha iliyopita yule jaji mkubwa wao kabisa alikana mamlaka yake (kama mhimili mmoja wa dola) na kutamka kwamba Bunge ndiyo wenye mamlaka zaidi. That is of course shit. In this country evrything is upside down -- it's really f**** up!!! Oh yes it is!!!!
watch out the red color! tupe ushahidi.
Timing ya kesi, pia Makamba alidai kuwa Dkt Slaa anasumbuliwa na ndoa yake kabla ya hata kesi kufunguliwa!
Angeshtakiwa Josephine kwa kukimbia ndoa yake na kufanya uzinzi (kama alifanya anyway)! Anyway, sijawahi kuona kosa linaloitwa "kupora mke" kisheria, labda ni kosa jipya! Pia Dkt Slaa alikuwa hajamwoa Josephine, ni mchumba tu! Uchumba si ndoa, kwa hiyo hakuna mke "aliyeporwa," huyo Josephine kisheria bado ni mke wa mumewe Mahimbo kwa sababu ni Mahakama pekee ndiyo yenye uwezo wa kuvunja ndoa, si vinginevyo!
Unenayo ni kweli. Jesphine ndiyo haswa alipasa kuwa mdaiwa wa mahimbo. lakini nadhani wewe na mimi na kila mtu mwingine mwenye uelewa (isipokuwa wale mashabiki wa JK) anajua fika kwamba kesi hii ni mradi wa akina Makamba/Kinana dhidi ya Slaa.
Unajua, unapukuwa na chuki na mtu, huwi muangalifu katika kumchagulia tusi. majai wanatkiwa waitupilie mbali hiyo kesi siku ya mwanzo tu -- lakini si unajua tena majaji wetu walivyo? Miezi kadha iliyopita yule jaji mkubwa wao kabisa alikana mamlaka yake (kama mhimili mmoja wa dola) na kutamka kwamba Bunge ndiyo wenye mamlaka zaidi. That is of course shit. In this country evrything is upside down -- it's really f**** up!!! Oh yes it is!!!!