Kwa mfumo wa uchaguzi wa 'ki-ccm', kesi za namna hii hazitakaa kuisha.
Kuna hila, gilba na dhuruma nyingi sana zinafanyika wakati wa uchaguzi. Haya mambo yangetakiwa kushughulikiwa outright before uchaguzi na mgombea anakua disqualified. Lkn tatizo vyombo vya kuyashughulikia haya, e.g. Tume ya uchaguzi, PCCB, msimamizi wa uchaguzi au msajili wa vyama vya siasa, wote hawa wameweka mbele 'u-ccm'. Yani ni matatizo tu.