Kesho naitupa line ya Halotel rasmi

Lofawamali

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2014
Posts
304
Reaction score
146
Habari zenu keaho nimeamua mwenyewe kuachana na Halotel nahamia zangu Ttcl rasmi.

Nimejaribu kuwavumilia haka kamchezo kao ka kupoteza dira kwenye suala la internet coverage, Lakini yamenishinda kwa kweli.

Kwa nini hata hawatujali wateja wake?? Costumer care kuwapata shida.Hata ukipatwa na dharura wewe mezea mate tu mana si rahisi kuwapata.

Shaabashhhhh !!!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bongo bado sana. Hatuna mtandao wa kutumainiwa ni kuvumilia tu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…