Itakumbukwa tarehe 01/01/2012 tuliompoteza Diwani wa kata ya Mtibwa kupitia CDM wilaya ya Mvomero Tuso Mwakyoma kutokana na kupigwa kisu na mpenzi wake! Sasa kesho kampeni ndio zinaanza rasmi hapo Mtibwa,makamanda wa Moro Mjini tumejiandaa inshallah kwnda kupiga tafu kampeni hiyo,Kata hiyo ipo vizuri Ushindi kwa CDM ni HAKIKA tuombe uzima.
Peopleeeeeees! Powerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!
Tunajivunia Nguvu ya Umma
Peopleeeeeees! Powerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!
Tunajivunia Nguvu ya Umma