Kero ya wanaume ambao hawana shukrani

Kero ya wanaume ambao hawana shukrani

bigboss1

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2015
Posts
319
Reaction score
196
Habari zenu wanajamvi,

Nimekerwa sana na hawa wanaume ambao kusema asante ni kazi unamkuta mtu anajipinda anakupikia, kukufulia ukiumwa anakupa matunzo ukiishiwa anakusitiri akitaka kitu anapewa chochote.

Ila hana shukurani matokeo yake anakubeza akilewa anakupiga anakuita malaya, kweli inauma nimeona mengi kwa watu wengi.

Ila utashangaa anapewa hela anayempelekea ndio anamweshimu anamuita mke bora anayempa mapenzi ya dhati.

Akifika home matusi, kipigo kelele yani sijui kwanini inanikera sijui na nyie mnalionaje shida huwa nini ukitukana ni sawa ukichangia hiyo ni safi zaidi.
 
Usimfanyie unayomfanyia atashika adabu. Ila wewe ke/me??
 
Mwanamke anayekuvumilia kwa kila hali mpende sana na pia muheshimu.
Wanaofanya hivyo wengi wao hawajui thamani ya mke. Mkeo akiamua kukuua huwezi chukua hata sekunde 1 utakuwa umeega dunia.
Siku zote mwanaume mkorofi, mlevi na malaya hupata mwanamke mwenye upendo wa dhati na mvumilivu. Hivyo kwa mwanamke.
Usijaribu kumpiga mkeo hata siku moja, ww mpende na mheshimu ikibid mdekeze hiyo ndiyo silaha yako. Hata siku ukimuacha kwa makosa yake.
Atakutafuta popote ulipo
 
Mwanaume asiyeshukuru hakulelewa hivyo.
Hangaika na watoto wako wajue nini maana ya kushukuru, huyo mwana wa mwenzio atakuumiza kichwa.
 
Mwanamke anayekuvumilia kwa kila hali mpende sana na pia muheshimu.
Wanaofanya hivyo wengi wao hawajui thamani ya mke. Mkeo akiamua kukuua huwezi chukua hata sekunde 1 utakuwa umeega dunia.
Siku zote mwanaume mkorofi, mlevi na malaya hupata mwanamke mwenye upendo wa dhati na mvumilivu. Hivyo kwa mwanamke.
Usijaribu kumpiga mkeo hata siku moja, ww mpende na mheshimu ikibid mdekeze hiyo ndiyo silaha yako. Hata siku ukimuacha kwa makosa yake.
Atakutafuta popote ulipo
Sometimes sijui mazingaombwe. unakuta Wanawapenda wanaowatesa.

 
Habari zenu wanajamvi,

Nimekerwa sana na hawa wanaume ambao kusema asante ni kazi unamkuta mtu anajipinda anakupikia, kukufulia ukiumwa anakupa matunzo ukiishiwa anakusitiri akitaka kitu anapewa chochote.

Ila hana shukurani matokeo yake anakubeza akilewa anakupiga anakuita malaya, kweli inauma nimeona mengi kwa watu wengi.

Ila utashangaa anapewa hela anayempelekea ndio anamweshimu anamuita mke bora anayempa mapenzi ya dhati.

Akifika home matusi, kipigo kelele yani sijui kwanini inanikera sijui na nyie mnalionaje shida huwa nini ukitukana ni sawa ukichangia hiyo ni safi zaidi.
haaaaa,hiyo ni ichezo mjini dada ukiona umependwa uje fala kaachwa na ukiona unapigwa ujue mjanja kapendwa vumilia tuu,lakini elewa kuwa hiyo sio kazi ya moyo
 
Kama hakupi hela unafanya nini hapo? Mapenzi hupaati zaidi ya karaha jiongeze wewe au mpaka akutoe kizazi
 
kweli hamna kitu kibaya km kumdharau mwanamke anajielewa na hamna kitu cha kipuuzi km kutukuza mwanamke zezeta hivyo bas kwa sifa hizo mwanamke ni wakumuheshimu labda km ni kweli malaya ila km ni mipombe yake tu huyo mwanaume ni zezeta sn...binafsi kitendo cha demu wangu kuja ghetto kunipikia na kufua yaan kufua jeans zangu zote alooo uwaga najisikia raha mpk nahonga mwenyewe bila kupenda ,ila papachu kawaida tu coz wote tunapata raha ila kufuliwa na mwanamke raha sana....
 
Asanteni kwa ushauri ila sio mimi sijaolewa nipo single ni rafikii yangu kaja kunisimulia yanayomsibu na ndoa yakee sasa nikaona nitoe huku ili tulichambue suala hilii.
 
Back
Top Bottom