A
Anonymous
Guest
Wakaazi wa Unguja, Zanzibar tuna kero kuhusu hawa wahusika wa ukusanyaji taka, wanaziweka karibu na makazi ya watu, taka zinanuka sana na zinakaa zaidi ya mwezi pasipo kuzolewa na wahusika.
Tunapata shida sana, sehemu ya kuishi ndio wanaweka dampo hii si sawa hata kidogo, tunaumia.
Masheha wa maeneo hayo wala hawana habari na hilo japo taarifa tunawapa lakini wanatupotezea.
Serikali iangalie namna ya kufanya kuhusu hii changamoto.
Mtaani kuna stori kuwa kuna kampuni amayo ilipewa tenda na imemaliza muda wake, hivyo kwa sasa hakuna usimamizi kwa kuwa mchakato umerejeshwa Serikali za Mtaa ambazo nazo hazitilii maanani kinachoendelea.
Tunapata shida sana, sehemu ya kuishi ndio wanaweka dampo hii si sawa hata kidogo, tunaumia.
Masheha wa maeneo hayo wala hawana habari na hilo japo taarifa tunawapa lakini wanatupotezea.
Serikali iangalie namna ya kufanya kuhusu hii changamoto.
Mtaani kuna stori kuwa kuna kampuni amayo ilipewa tenda na imemaliza muda wake, hivyo kwa sasa hakuna usimamizi kwa kuwa mchakato umerejeshwa Serikali za Mtaa ambazo nazo hazitilii maanani kinachoendelea.