Kero ya muungano kwa watanganyika

Kero ya muungano kwa watanganyika

tpmazembe

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
2,469
Reaction score
588
Kwa nini ukishusha mzigo katika bandari ya Tanzania Zanzibar unatozwa kodi kidogo na TRA, angali ukishusha mzigo katika bandari ya Dar unatozwa kodi kubwa na TRA hiyo hiyo?

Kuishi znz unatoa kodi kidogo,ukiishi bara unatoa kodi kubwa kwa nini angali tunajenga nchi moja?
 
Sababu ni Nchi mbili tofauti zenye vipaumbele tofauti na itikadi tofauti.
 
Kwa nini ukishusha mzigo katika bandari ya tanzania zanzibar unatozwa kodi kidogo na TRA, angali ukishusha mzigo katika bandari ya dar unatozwa kodi kubwa na TRA hiyo hiyo? kuishi znz unatoa kodi kidogo,ukiishi bara unatoa kodi kubwa kwa nini angali tunajenga nchi moja?

Ndiyo maana ukinunua bidhaa ZNZ ukifika Bandarini DSM unatozwa difference ya kodi kati ya Tanganyika na ZNZ. Jambo la kujiuliza hivi TRA ni ya muungano? kama ni ya muungano kwanini basi tuwe na kodi mbili tofauti ya bidhaa kati ya Tanganyika na ZNZ? Je kwa bidhaa ambazo hazitoki nje ya ZNZ, kuja Tanganyika hiyo tofauti ya kodi kati ya Tanganyika na ZNZ nani anailipia?
 
Ndiyo maana ukinunua bidhaa ZNZ ukifika Bandarini DSM unatozwa difference ya kodi kati ya Tanganyika na ZNZ. Jambo la kujiuliza hivi TRA ni ya muungano? kama ni ya muungano kwanini basi tuwe na kodi mbili tofauti ya bidhaa kati ya Tanganyika na ZNZ? Je kwa bidhaa ambazo hazitoki nje ya ZNZ, kuja Tanganyika hiyo tofauti ya kodi kati ya Tanganyika na ZNZ nani anailipia?

maana yake ukiishi znz unalipa kodi kidogo,ukiishi tanganyika unalipa kodi kubwa, kuendesha serikali kuna hitaji kodi kulipa polisi , majeshi, wabunge ambavyo vyote pesa hutoka hazina. sasa kwa nini upande mmoja ulipe kodi kubwa , upande mwingine kodi ndogo?
 
Ukienda zanzibar kutoka dar lazima uwe na paspot, pia mtanganyika haruhusiwi kugombea ubunge zanzibar, wakati huohuo wazanzanzibar wako huru kugombea pande zote za muungano! Muungano huu unaikandamiza zaidi tanganyika na kuipa uhuru zaidi zanzibar!
 
Muungano una kero nyingi Dawa ni kuuvunja tu kila mtu abaki na chake kuliko kuishi kwa Wasiwasi na presha.
 
NIkicomment sana hapa nitaambiwa UKAWA wacha niseme kuwa TANZANIA haijawahi kuwa na muungano sisi hapa ni mapatano wewe fanya hiki mimi nifanye hiki tuendelee kuishi.
 
Back
Top Bottom